jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
- Thread starter
- #141
Upinzani Hauja Ni Convince Na Ccm Ni Mafisadi!
Kwanza hata hao wanaojiita Simba kama si Mengi nani angewajua?
Kama Mengi angeshirikiana na Mkapa...Taifa letu lingekuwa kwenye hali gani kwa sasa?
Kina Slaa na Zitto wangekuwa wapi?
CCM wanawaweza wapinzani na wanamwogopa R.Mengi!
Wanajua hilo!
Kwanza hata hao wanaojiita Simba kama si Mengi nani angewajua?
Kama Mengi angeshirikiana na Mkapa...Taifa letu lingekuwa kwenye hali gani kwa sasa?
Kina Slaa na Zitto wangekuwa wapi?
CCM wanawaweza wapinzani na wanamwogopa R.Mengi!
Wanajua hilo!