salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 362
,Ni kijana wa kitanzania mwenye upeo wa hali ya juu mimi na umri wangu wote sisikilizi nyimbo za kitanzania ila huyu jamaa acha mwanangu ukirudi mjini ptia kwangu na uniletee album yake huyu mwimbaji. Haya yalikua maneno ya babaangu mzazi jinsi alivovutiwa na wimbo wa roma hadi kutaka albm zake jamaa anastahili heshima ya juu pesi ilimaliza ugomvi baina ya ruge na sugu hahahaaa