Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hivi ile program uliyonielekeza huwa ina expire!? maana kwa sasa niki i click inaniambia ni dowload tena! nina video nyingi za Youtube nataka nizitizame, program naona inazingua kidogo...
Wakuu ...
Nimekuwa ni mfuatiliaji wa mambo kadhaa hapa ulimwenguni tangu siku moja nilipopewa jarida moja la habari na kukuta taarifa inayomhusu binadamu mmoja anaeitwa Rabi Leo Baeck ...
Jaria lile lilikuwa linasema mengi sana kuhusu kazi za huyu binadamu na mambo yake mengine mengi sana,lakini kitu ambacho kilinistua ni madai ya huyu mtu kuhusishwa na ile alama iliyoko kwenye bendera ya Israel,yaani ile nyota ya pembe sita maarufu kama hexagram
Nyota hii iliwahi kutumiwa na Ujerumani kwenye vita ya Spain ya mwaka 1936,inadaiwa kwenye bendera ya Israel ya kale kulikuwa na alama ya Simba,hata gazeti moja la Uingereza la mwaka 1933,British newspaper, wakati wa vita na Israel liliweka nembo ya Nazi na nembo ya simba kuwakilisha nchi zilizokuwa ziko vitani
Huyu jamaa ana historia na vinavyodaiwa vyama vya siri,lakini pia inadaiwa ana mahusiano na familia ya Adolf Hilter,hapo nilistuka kidogo,kuna mwana familia mmoja wa familia ya Hitler ambae alikuja kuuwawa aliwahi kudai kuwa hakukuwahi kuwepo kwa kitu kinachoitwa mauwaji ya halaiki ya Wayahudi mil 6,makala na maelezo ya huyu marehemu nimekuwa nikizitafuta na sizioni kabisa bali nakutana na nyi ngine tu ambazo zinarejea maelezo ya huyu jamaa
Lakini tofauti na haya,kuna madai kuwa hii Israel tunayoiona leo sio ile ya kale,yaani ile ambayo iko kwenye maandiko ya Biblia,hii ni fake
Najiuliza kama kuna ukweli juu ya hili,unaweza kujiuliza nimekuwaje hadi nimeamua kuuliza hapa,lakini ninachotaka kupata hapa ni maoni ya watu kama wanajua kitu hiki ambacho nakifanyia utafiti maana najua hapa kuna watu wa aina nyingi sana na wana vitu adimu kuacha wale ambao wanajadili mambo kwa kuongozwa na hisia za kidini na chuki
Kwasababu hiyo basi ningependa t ujaribu kulitazama hili ili angalau tufike mahali tusaidiane
Asante ....
Karibuni wakuu Mkuu wa chuo , juve2012 , Ntuzu charminglady Sangarara na wengine .......!!
Kwanini ni vituko mkuu?
Kama unaifungua halafu net yako kwenye PC au LapTop iko online hapo itakuwa inakuuliza kama unataka kuiupdate,ikitokea hiyo alert unaicancel tu halafu program inafunguka na unaendelea .....!!
Nimesoma signeture yako nikajua akili yako ilivyo...
Kila la kheri .. .!!
Mkuu,angalia kwanza video halafu ndio tujadili ....!!
Mkuu Punjab Singh, shukran sana kwa hiyo link. Tatizo langu na hata ipo siku niliuliza mchangiaji mmoja humu JF kuwa kama population ya Jews ni kama alivyoripoti kwenye link uliyoitoa hapo juu;
Niliuliza kuwa kama AHADI ya Mwenyezi Mungu kuufanya UZAO wa ISAACK kuwa mchanga wa bahari ni takriban miaka 4000 sasa, na baada ya miaka yote hiyo 4000 hawa jamaa ni Milioni 13 tuuu, inatia mashaka sana ama kuhusu ukweli wa AHADI au walengwa (yaani UZAO wa Isaack) SIO hawa wanaoitwa JEWS leo.
Hakuna majibu stahiki niliyoyaona.
cc Ishmael, Mkuu wa chuo, Eiyer,
All followers of Jesus are Jews through the Blood.
A Jew is any person whose mother was a Jew or any person who has gone through the formal process of conversion to Judaism.
The term Jew is used in at least two senses in Scripture: to refer to those who are ethnically Jews and to those who are religiously Jews. Jesus was a Jew in both senses. In fact, he completed the Jewish religion by serving as the Messiah (Christ) whom the prophets had long foretold. That is why Christians are Jews through "THE BLOOD OF JESUS"really? i thought to be Jew you must come from a Jewish MOTHER or converted to Judaism
Mkuu umeshaangalia?
The term Jew is used in at least two senses in Scripture: to refer to those who are ethnically Jews and to those who are religiously Jews. Jesus was a Jew in both senses. In fact, he completed the Jewish religion by serving as the Messiah (Christ) whom the prophets had long foretold. That is why Christians are Jews through "THE BLOOD OF JESUS"
well unfortunately this is NOW diffusing into areas that i willfully don't debate. I suggest we part here. I will save your points in memory that faith-wise Pope Francis is also JEWISH!!!
Mkuu kuna swali nimekuuliza kuhusu hayo majina hapo juu ...!well unfortunately this is NOW diffusing into areas that i willfully don't debate. I suggest we part here. I will save your points in memory that faith-wise Pope Francis is also JEWISH!!!
The term Jew is used in at least two senses in Scripture: to refer to those who are ethnically Jews and to those who are religiously Jews. Jesus was a Jew in both senses. In fact, he completed the Jewish religion by serving as the Messiah (Christ) whom the prophets had long foretold. That is why Christians are Jews through "THE BLOOD OF JESUS"
The completed form of the Jewish religion is known as Christianity, and its adherents are Christians or "followers of the Christ." Unfortunately, many people who were ethnically Jewish did not recognize Jesus role as Messiah and so did not accept Christianity, the completed form of Judaism. Instead, they stayed with a partial, incomplete form of Judaism. Other Jews (the apostles and their followers) did recognize that Jesus was the Messiah and embraced the new, completed form of Judaism.
It is this difference between being a Jew ethnically and religiously that lies behind Pauls statement in Romans 2:28-29: "For he is not a real Jew who is one outwardly, nor is true circumcision something external and physical. He is a Jew who is one inwardly, and real circumcision is a matter of the heart, spiritual and not literal."
Christians are those who Paul refers to as being inwardly (religiously) Jewish, while non-Christian Jews are those who he refers to as being outwardly (ethnically) Jewish. The former condition, he stresses, is the more important.