Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
recho kamzidi mange kusema kweli.Hamshindi mange ila recho alikuwa anatembelea kivuli cha fake account kutukana watu ambao hadi wengine ni marafiki zake.
Mfano Mimi nikiwa kwenye account yangu nakuheshimu wewe ila kumbe Nina account nyingine nakutukana sana. Kinachotisha siyo matusi ila ni vile alikuwa mnafiki kuzunguka watu na kuwatukana.
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
JamaniiiiShoga screen shot simu yangu nashindwaga hvyoo au kutoa instagram
Ukipata mda njoo chumbani.Hizi zama utandawazi kujua nani ni mtu mzima au nani mtoto au nani mwendawazimu na nani mwenye akili timamu ni vigumu sana kwa kweli.
sakina lyoka tena! amekosa nini yule mama mbona huwa naona anajiheshimu sana![emoji3] [emoji3] [emoji3] tatizo yule alikua anadili na watu wengi tofauti na mange
Ona anavyomtukana mobeto na ana mitusiiii...balaaa...mimi nimefurahi kweli leo alivyojulikana live mfano wema kila siku anamtukana jaman hajamkosea chochote,Sakina lyoka nae chupuchupu aumbuliwe!
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
Hapana ni kwa sababu yeye alikuwa anajificha hajulikani ndiyo maana alikuwa na nguvu.recho kamzidi mange kusema kweli.
ha haaa haaaaa maskinialiomba msamaha fasta sakina kabla hajamuumbuaa...
[emoji15] jina zuri hvyoo halafu kumbe nae hovyoo tu!!Coffee table mbona anajulikana anatumia jina la ikraa juma jina lake halis
[emoji1] [emoji1] kama wolper anajifanya binamuu kumbee[emoji2] [emoji2]Katukana mpaka watu wake wa karibu huyo rachel jamaan leo ndio wanashangaa kumbe rafiki yetu ndio anatutukana kila siku usiwafanyie wenzio ubaya bila sababu
Shikamoo mkuu nimepitia kila komenti yako unaonekana upo vizuri kwenye mambo haya ya umbea[emoji23] [emoji23]He he he mwisho wa ubaya ni aibu.
Ngoja miye nikapekenyue zaidi.
Mpenzi
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app