Rachel Temu aumbuka vibaya leo

Ndo shida ya kua na fekero huku una simu moja [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mrs Van

Yaani mmmmh

Mjinha sana, mtu huwezi kuingia kwenye gemu kama hilo na kutotumia simu tofauti ya kufanya hayo.
 
Alisahau ku-switch account
 
A/c ya kawaida anatumia jina gani ukiachana na fekero yake
 
Aisee

Sent from my Iphone mpyaaa nimenunua million mbili..!!
 
Si mrudi huko huko insta...

Sent from my LG-H635 using JamiiForums mobile app
 
Nimekosea njia ... Thread akishatajwa mange ishakuwa ya kipuuzi ...
 
Aisee....

Sent from my phone
Using jamiiforums mobile app.

Chekeni tu ... hiyo mobile app siku itakapotema majina yenu halisi hadharani...
 
Ila ile ya mapya 2 imenifunza ni nani mgeni wa kumwalika kwako na kukaa nae, si kwa pichu zile na kuhesabiwa chips.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…