Rachel Temu aumbuka vibaya leo

Rachel Temu aumbuka vibaya leo

Yaani hapana mtu huwezi kufanya hayo kwa akili fupi hivyo kabisaaaa na kutokuwekeza kwa kutumia pesa.

Watu wengine bado tunatumia vitochi kwa sabbau tofauti

Yeye anaenda kutumia smartphone na kuweka account zote za instagram kwa simu moja kweli ni mpumbavu na jinga kubwaaaaa kabisaaaa.
Alisahau ku-switch account
 
Aliwahi kunitukana akaniblock kwenye account yake original.
Nikamchalange kwenye kipazasauti akanifuata DM akanitukana akaniblock.
Matusi yalikuwa Yale Yale kwanzia hapo nikamwamini mama kenzo.
Yaani Leo Nina furaha alivyoumbuka ha ha ha

Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
A/c ya kawaida anatumia jina gani ukiachana na fekero yake
 
Aisee

Sent from my Iphone mpyaaa nimenunua million mbili..!!
 
Si mrudi huko huko insta...

Sent from my LG-H635 using JamiiForums mobile app
 
Nimekosea njia ... Thread akishatajwa mange ishakuwa ya kipuuzi ...
 
Aisee....

Sent from my phone
Using jamiiforums mobile app.

Chekeni tu ... hiyo mobile app siku itakapotema majina yenu halisi hadharani...
 
db34fa653a04ef24c4e92da96005cde3.jpg

Leo raaaaaaaaaaha. Heheheheeeeee.

Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
Mkuu hii ni kaidi
 
Kichwa panzi alidakwa na mange.
Akafunguliwa kesi , akapostiwa picha zake. Mbona aliikimbia account yake.
Bora angeendelea kupost. Ila aliacha hivyo inamaanisha ni yeye yule aliyedakwa.
Basi akabadilishaga na jina.. Aka unfolow watu sasa hivi sijui kama ile account ipo tena.
Mapya 2 bado siku yake. Ha ha ha

Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
Ila ile ya mapya 2 imenifunza ni nani mgeni wa kumwalika kwako na kukaa nae, si kwa pichu zile na kuhesabiwa chips.
 
Back
Top Bottom