PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,224
Nmh nadhani recho atakua na majibu sahihiUlaji wetu sisi na ulaji wa waarabu una tofauti?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmh nadhani recho atakua na majibu sahihiUlaji wetu sisi na ulaji wa waarabu una tofauti?!
Recho anamaanisha nini kusema wote mtavaa pediahahaaaa
Labda anableed mwaka mzimaRecho anamaanisha nini kusema wote mtavaa pedi
Kila kitu kina mwanzokwanini hakutoa siku zote?
Kila kitu kina mwanzokwanini hakutoa siku zote?
Promo kwelini Double Tree peke yake ndio wenye rate nzuri Dar nzima?!
isije kuwa promo hii kwa kuwachafua wengine
Ni Bipolar disorder tu dadaanachofanya ni uhuru wa kutoa maoni au ni vita?
kabisaaHaya ndio mambo...hata 100k haiishi. Huko kwa 22m tunawaachia wenyewe!
Kma ni za kike, nawe una uke..Hii ni komenti yangu ya mwisho kwenye huu uzi na aibu nimeona kweli maana nimefatilia Ishu za kipuuzi za kike. Ila msiwadiss wanaoleta story za fb hku
Basi poaAnataka kujidai na yeye km Mange kimambi,ka puuz kweli
BUZI la kiwango cha Champions League!Nimeona statement inasema hata ukienda na "DANGA" lako, nauliza danga ndo nini?
Aisee! Ni msemo wa wadada wa Dar bila shakaBUZI la kiwango cha Champions League!
Wadada wa mjini...Aisee! Ni msemo wa wadada wa Dar bila shaka
Jichanganye na wewe akusambazieHuyu Rachel Temu Ndio Yule Mange Kimambi anamuitaga Rachel Miwaya?
Nasikia anasambaza bila huruma hasa kwa waume za watu!