Rachel Temu vs Hyatt Regency: Ushauri wangu kwako..

Aiseee
 
Ndo hotel nyingi za kibongo salary laki na 20 na 50 kwa watu was service wale chefs wanalambaga laki 2 ,hiyo kwa wazawa ila wageni kuanzia laki 5 mpaka milioni kadhaa ,halafu wazawa ndo wanafanya kazi kubwa katika kuendesha shughuli zote za hotel
Wanaohusika Wapo kimyaa
 
Wauza papuchi mna matatizo sana.......ngoja niende zangu mie
 
Wanaohusika Wapo kimyaa
Kwani si huwa wanakubali ku sign mikataba bila kulazimishwa, sasa wana lalamika nini? kama pesa ndogo acha nayo....
Trust me watanzania wengi hawafanyi kazi nzuri kwenye mahotel zaidi ya kuvizia wazungu na kudai malipo mazuri ndio maana mahotel mengi wana waajiri wakenya na waganda
 
Buu ni upuuzi.... Kwani imekuwa kama kodi kwamba lazima ulipe? Kula kwa urefu wa kamba yako
 
Kabla hujawatetea hao wapuuzi hyat na hoteli zingine.
Unajua tofauti ya mishahara wanayopewa foreigners na wazawa?

(Kwenye mabano kuna tusi la da Ma...)
Kwan wamelazimishwa wafanye kazi hapo??
Wasingekimbia shule ungekuta wamekua madaktari wanalipwa ela nzuri so relax
 
Miss natafuta ni kweli we ni Jackline wa Mbezi hehehehe katuambia Rachel Temu
 
Kwan wamelazimishwa wafanye kazi hapo??
Wasingekimbia shule ungekuta wamekua madaktari wanalipwa ela nzuri so relax
Ivi ni wangapi hawakukimbia shule ila sio madaktari na hawalipwi iyo ela nzuri?
Nafasi na fursa za maisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…