Raddi kwa Muslim University of Morogoro na Islamic Seminaries zote za Tanzania.

Raddi kwa Muslim University of Morogoro na Islamic Seminaries zote za Tanzania.

Kuna mambo mengi maovu zaidi ya zin,aa yanayotendeka kwa wingi sana Uislamuni, na hayo ni kama vile ushirikina, uchawi, n.k.
Umeandika kana kwamba uislamu unafundisha ushirikina na uchawi na zinaa. sio sahihi
 
Umeandika jambo moja kwa kujirudiarudia sana ili tu uwachoshe wau wasisome hadi mwisho. Mimi nimekomaa nikasoma hadi mwisho ili tu nikukomoe.
Nilichokielwa kwenye uzi wako, kuna ujumbe umeuficha sana. Kwa mujibu wako uliofichika ni kwamba, Mwislam wa kweli anatakiwa awe khanithi
Ukuda mno 😀😀
 
Assalam alaykum jamiah .

naam, leo nimekuja kuwananga ndugu zangu waislamu (Wahadhiri) wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro pamoja na walimu wa shule za msingi na sekondari za kiislamu, hususan zinazojiita seminari.

Katika uzi huu nitaangazia nukta moja tu kwa vile ninazo nukta kadhaa za kusema nanyi popote tutakapokutana, nayo ni nukta ya ukurubi kwa watoto wa kike. Kwa sisi waislamu tukiwa pamoja huwa tunaita hii kitu kama shub h'a.

Watu wa sheria mtakuja kunisahihisha maana ya neno shub h'a, lakini kwa namna tunavyolitumia sisi ni kama vile lina maana ya utata. kwahio tumekuwa na desturi ya kuyaita mazingira ambayo yamekaa kwa namna kadhaa kama yanataka kuikaribisha zinaa kama mazingira ya ki-shu b'ha, naaaaaam shub h'a.

Dini yetu ya kiislamu imepiga vita mazingira yote yanayoweza kuchochea vishawishi vya kuikaribia zinaa, na ipo aya katika Qur an takatifu inayoeleza kuwa "wala msiikaribie zinaa hakika huo ni uchafu na njia iliyokuwa mbaya". ingawaje tunao washenzi wanaobadili aya na kuongeza maneno yao kwa kusema "msiikurubie zinaa ispokuwa kwa dharura", haya ni maneno ya wazinifu tu na sio qur an yetu. Lengo hapa ni kukataza vikao vya faragha kati ya watu wazima wawili wenye jinsia za tofauti yaani me & ke.

Sasa katika shule zetu za kiislamu ikiwa ni pamoja na chuo chetu cha morogoro aya hiyo huwa inatumika sana. Binafsi sijasoma MUM lakini nimesoma seminary za kiislamu, lakini pia ninao rafiki zangu ambao wapo na wamepita hapo MUM, aya hii ni kama vile ipo explicitly kwa ajili ya wanafunzi tu ! ajabu !. Sasa sisi tuliowahi kuwa wanafunzi wa reasoning hapa nitaita watukutu, tuliwahi na huwa tunajiuliza je ! are teachers or lecturers above islamic law?

Katika mazingira ya kiseminari sote tuliopita huko ni mashahidi, kwa mfano katika shule niliyopita mimi ilikuwa ukibainika umemtolea macho mtoto wa kike kwa dakika mbili mfululizo tu, halafu ukabainika, basi unaweza kujuta kilichokuleta hapa duniani. Huwa ni marufuku kumkaribia mwanamke yeyote ambaye unaweza kumshughulikia kimaumbile ndani na nje ya mipaka ya shule.

Ajabu ni kuwa wanaosimamia utekelezaji wa sheria hizo ama hizi(mhadhiri/mwalimu), utamkuta amekaa ofisini na kibinti kizuri basi kinamuitaita tu ostadh ostadh hakuna mada ya muhimu inayoendelea hapo na wapo wawili tu. Ama wakati mwingine kundi la watoto wa kike tena wazuri na wenye mvuto wa kimapenzi utakuta wamemzunguka mwalimu al maaruf kama ostadh yaani hapo ajipatia joto lao tu, na wengine wanamsemea karibu na sikioni kwa makusudi tu, lakini ostadh ye aona raha tu vinywele vikimsimama ameshasahau na katazo la kukurubia zinaa. ndiyo sababu tunajiuliza ama ninyi walimu wa seminari na wa pale MUM mpo juu ya sheria za kiislamu kwamba katazo la kuikurubia zinaa haliwahusu?.

Ukweli ni kuwa sheria hii ya kukataza mazingira ya ki-shub'hat imekuja kwa waislamu wote na hakuna kategoria ya kuwa huyu ni mhadhiri na yule ni mwalimu, wote tuko obligated kuukwepa mshale wa zinaa. Hivyo basi yeyote atakayeikurubia zinaa bila kujali hadhi yake katika jamii atahesabika kama mkurubiaji na kama zipo hatua za kisheria basi zimkute bila kujali hadhi aliyonayo katika jamii.

kufuatia aya hiyo hapo juu, ninaandika hapa kwa wino wa zafarani kwamba, kundi kubwa la walimu wa kiume katika shule za kiislamu wamejitenga na aya ya kukaribia zinaa na kwamba wao ni makurubi wakubwa wa zinaa katika taasisi hizo za kielimu.

Wito wangu kwa Shule na viongozi wa shule hizo ni kwamba, zinaa sio kosa la kimungu tu, bali ni kosa hata kiserikali kwa vile;

Kukaribisha tamaa za kingono na mwanafunzi ni kosa na ukifanya itakusababishia kufungwa jela miaka thelathini kwa kuwa sheria za jamhuri zinatoa tafsiri ya ubakaji.

Lakini pia kwa vile shule hizo zimeamua kutumia sheria za kiislamu kutawala mazingira ya kishule, nawakumbusha tu kuwa sheria hizo hazijalenga kundi la wanafunzi bali kundi la waislamu wote hivyo basi, mtumishi yeyote katika shule hizo (kwa vile wote/wengi huwa ni waislamu) atakayekiuka maadili ya kiislamu basi sheria ichukue mkondo wake kulingana sheria itakavyoundwa.

Maana ya aya hiyo hapo juu ni kwamba, walimu na wahadhiri ndani ya shule za kiislamu na vyuo vyao wanaoikurubia zinaa kwa eidha kukaa faragha ama kwa kuzungukwa na watoto wa kike kwa mtindo wa ahalf to one distance, wanakiuka katazo la sheria za kiislamu la kutokuikurubia zinaa na hivyo waanze kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja.

Wako katika uandishi
Yusufu R H Sabura
0750883466/0717934194
Ndo maana mnauana huko mashariki ya kati
 
Nafikiri wengi wa masheikhe ni watu wanaofanya shirk sana pia ni waganga wa kienyeji na hata walozi.
Uchawi na ushirikina ni tabia ya mtu binafsi sio dini.
hata wakristo wa namna hiyo wapo je tuseme ukristo umewafundisha uchawi na ulozi?
 
Ni kweli hata kwenye Ukristo kuna wachungaji wenye kutumia nguvu za giza ila kwenye Uislamu naona mambo hayo ni mengi zaidi.
haya shikilia hapo kwanza, hao wachungaji wachache uwajuao je ni yesu kristo aliewatunuku uchawi na nguvu nyeusi?
pia niambie ni imamu au sheikh gani amewahi kusikika ati yupo kwenye mimbari (madhabahu) akiwa katika hali ya kushika uchawi !. bila shaka wachungaji wapo na mnawataja kila siku
 
Ni msaada walipewa na Mkapa majengo ya Tanesko pale morogoro.

Uwezo wala wazo la kujenga chuo kikuu hawana,zaidi ya kufuga ndevu na kulilia tende harua na maziwa ya ngamia toka arabia.
Kwanini mnaumia kobazi tukiwa na chuo chetu?
 
kwanini ndugu Yoda
Maisha unayotaka wewe hayawezekani tena karne hii ya globalisation. Karne ya 7 watu walikuwa wanaishi kikabila na kidini kwa hiyo mambo mengi yaliwezekana pia kwa msingi huo. Sasa mfano kiongozi wa kike wa chuo cha kiislamu unakuta anaendeshwa na dereva wa kiume, kwenye gari si watakuwa wawili tu.
 
Maisha unayotaka wewe hayawezekani tena karne hii ya globalisation. Karne ya 7 watu walikuwa wanaishi kikabila na kidini kwa hiyo mambo mengi yaliwezekana pia kwa msingi huo. Sasa mfano kiongozi wa kike wa chuo cha kiislamu unakuta anaendeshwa na dereva wa kiume, kwenye gari si watakuwa wawili tu.
Siku nyingine uwe na akili, mimi hapa nazungumzia UTAWALA WA SHERIA katika maeneo yetu ya kidini.
tena karne yetu ya 21 inapenda sana utawala wa sheria kuliko karne zote so huna hoja. soma upya
 
Huwezi kumtenga mwanaume kamili na mwanamke, ukimtenga na mwanamke na ukafanikiwa jua huyo siyo mwanaume kamili. Hivyo hivyo kwa wanawake huwezi kuwatenganisha wanawake kamili na wanaume..


Nb.. shule nyingi za kidini/ zile za jinsia moja zinachochea ushoga na usagaji
Umeandika kweli tupu katika nb yako, ni kweli huwezi kuwatenganisha lakini sheria yetu inataka watu waoane ndo wakae hivyo wanavyotaka, lengo ni kuepusha uzinifu of which dini zote na hata tamaduni za kiafrika hazishabikii
 
Assalam alaykum jamiah .

naam, leo nimekuja kuwananga ndugu zangu waislamu (Wahadhiri) wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro pamoja na walimu wa shule za msingi na sekondari za kiislamu, hususan zinazojiita seminari.

Katika uzi huu nitaangazia nukta moja tu kwa vile ninazo nukta kadhaa za kusema nanyi popote tutakapokutana, nayo ni nukta ya ukurubi kwa watoto wa kike. Kwa sisi waislamu tukiwa pamoja huwa tunaita hii kitu kama shub h'a.

Watu wa sheria mtakuja kunisahihisha maana ya neno shub h'a, lakini kwa namna tunavyolitumia sisi ni kama vile lina maana ya utata. kwahio tumekuwa na desturi ya kuyaita mazingira ambayo yamekaa kwa namna kadhaa kama yanataka kuikaribisha zinaa kama mazingira ya ki-shu b'ha, naaaaaam shub h'a.

Dini yetu ya kiislamu imepiga vita mazingira yote yanayoweza kuchochea vishawishi vya kuikaribia zinaa, na ipo aya katika Qur an takatifu inayoeleza kuwa "wala msiikaribie zinaa hakika huo ni uchafu na njia iliyokuwa mbaya". ingawaje tunao washenzi wanaobadili aya na kuongeza maneno yao kwa kusema "msiikurubie zinaa ispokuwa kwa dharura", haya ni maneno ya wazinifu tu na sio qur an yetu. Lengo hapa ni kukataza vikao vya faragha kati ya watu wazima wawili wenye jinsia za tofauti yaani me & ke.

Sasa katika shule zetu za kiislamu ikiwa ni pamoja na chuo chetu cha morogoro aya hiyo huwa inatumika sana. Binafsi sijasoma MUM lakini nimesoma seminary za kiislamu, lakini pia ninao rafiki zangu ambao wapo na wamepita hapo MUM, aya hii ni kama vile ipo explicitly kwa ajili ya wanafunzi tu ! ajabu !. Sasa sisi tuliowahi kuwa wanafunzi wa reasoning hapa nitaita watukutu, tuliwahi na huwa tunajiuliza je ! are teachers or lecturers above islamic law?

Katika mazingira ya kiseminari sote tuliopita huko ni mashahidi, kwa mfano katika shule niliyopita mimi ilikuwa ukibainika umemtolea macho mtoto wa kike kwa dakika mbili mfululizo tu, halafu ukabainika, basi unaweza kujuta kilichokuleta hapa duniani. Huwa ni marufuku kumkaribia mwanamke yeyote ambaye unaweza kumshughulikia kimaumbile ndani na nje ya mipaka ya shule.

Ajabu ni kuwa wanaosimamia utekelezaji wa sheria hizo ama hizi(mhadhiri/mwalimu), utamkuta amekaa ofisini na kibinti kizuri basi kinamuitaita tu ostadh ostadh hakuna mada ya muhimu inayoendelea hapo na wapo wawili tu. Ama wakati mwingine kundi la watoto wa kike tena wazuri na wenye mvuto wa kimapenzi utakuta wamemzunguka mwalimu al maaruf kama ostadh yaani hapo ajipatia joto lao tu, na wengine wanamsemea karibu na sikioni kwa makusudi tu, lakini ostadh ye aona raha tu vinywele vikimsimama ameshasahau na katazo la kukurubia zinaa. ndiyo sababu tunajiuliza ama ninyi walimu wa seminari na wa pale MUM mpo juu ya sheria za kiislamu kwamba katazo la kuikurubia zinaa haliwahusu?.

Ukweli ni kuwa sheria hii ya kukataza mazingira ya ki-shub'hat imekuja kwa waislamu wote na hakuna kategoria ya kuwa huyu ni mhadhiri na yule ni mwalimu, wote tuko obligated kuukwepa mshale wa zinaa. Hivyo basi yeyote atakayeikurubia zinaa bila kujali hadhi yake katika jamii atahesabika kama mkurubiaji na kama zipo hatua za kisheria basi zimkute bila kujali hadhi aliyonayo katika jamii.

kufuatia aya hiyo hapo juu, ninaandika hapa kwa wino wa zafarani kwamba, kundi kubwa la walimu wa kiume katika shule za kiislamu wamejitenga na aya ya kukaribia zinaa na kwamba wao ni makurubi wakubwa wa zinaa katika taasisi hizo za kielimu.

Wito wangu kwa Shule na viongozi wa shule hizo ni kwamba, zinaa sio kosa la kimungu tu, bali ni kosa hata kiserikali kwa vile;

Kukaribisha tamaa za kingono na mwanafunzi ni kosa na ukifanya itakusababishia kufungwa jela miaka thelathini kwa kuwa sheria za jamhuri zinatoa tafsiri ya ubakaji.

Lakini pia kwa vile shule hizo zimeamua kutumia sheria za kiislamu kutawala mazingira ya kishule, nawakumbusha tu kuwa sheria hizo hazijalenga kundi la wanafunzi bali kundi la waislamu wote hivyo basi, mtumishi yeyote katika shule hizo (kwa vile wote/wengi huwa ni waislamu) atakayekiuka maadili ya kiislamu basi sheria ichukue mkondo wake kulingana sheria itakavyoundwa.

Maana ya aya hiyo hapo juu ni kwamba, walimu na wahadhiri ndani ya shule za kiislamu na vyuo vyao wanaoikurubia zinaa kwa eidha kukaa faragha ama kwa kuzungukwa na watoto wa kike kwa mtindo wa ahalf to one distance, wanakiuka katazo la sheria za kiislamu la kutokuikurubia zinaa na hivyo waanze kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja.

Wako katika uandishi
Yusufu R H Sabura
0750883466/0717934194
Nimekusoma Sheikh wangu. Umetoa ilim mujarab kabisa. Inshallah utaongezewa thwawabu zako akhera
 
Back
Top Bottom