Raddi kwa Muslim University of Morogoro na Islamic Seminaries zote za Tanzania.

Siku nyingine uwe na akili, mimi hapa nazungumzia UTAWALA WA SHERIA katika maeneo yetu ya kidini.
tena karne yetu ya 21 inapenda sana utawala wa sheria kuliko karne zote so huna hoja. soma upya
Hatuhitaji utawala wa sharia Tanzania, hauwezekani, vumilia tu.
 
Ukweli ni kwamba Uislamuni kuna unafiq mkubwa zaidi na hata nyie mnajuana kwa hilo na kwa mambo ya shirk mpo vizuri sana.
 
Haya ndio mambo Zakir Naik atakuja kukazia.
Tungeshangaa tusingekuona hapa we jitu zima hovyo… udini na ubaguzi tu umekujaa. Ukilala, ukiamka, ukila, ukinya, ukioga, ukikimbia unawaza chadema tu 😂

HOVYO KABISA!
 
Shule gani inachochea Ushoga na Usagaji… ?!?!

ukiwekwa kizuizini uipe ushahidi Mamlaka unayo ya kusema kama ushahidi?! Hivi kweli shule ya kitanzania na ya watanzania iunge mkono Ushoga na usagaji?! 😳😳😳

Naam! We ropoka tu kwa sababu umeshiba… ukihitajika usisite kuitika na kutoa ushirikiano stahiki 😊
 
ingawaje tunao washenzi wanaobadili aya na kuongeza maneno yao kwa kusema "msiikurubie zinaa ispokuwa kwa dharura"
Walishaona ni vigumu ku control nature ndiyo maana wakalegeza kidogo, hii niliisikia kwa Sheikh Kipozeo
 
ndugu yangu, kushinda dhambi bila kumpokea Yesu Kristo moyoni ni ngumu, hamtaweza kuushinda uzinzi hata wakiweka sheria kubwa kiasi gani. ili kujua hilo, waambie wafanye practicle, wachukue mabinti hao unasoma nao 20 tu, wakawapime bikra. nakuhakikishia wote mtihani huo watafeli, na kwa upande wa hiyo dini yenu, hata bikra za sehemu za haja kubwa (kama mnavyodai) watafeli mtihani. hili nakuhakikishia.

why? kwa sababu hapo zamani za kale, hao hao wenye ushungi, wenye tintedi, wengi sana ndio walikuwa watu wangu, ni waongo balaa, wanajifanya dini kwenye mavazi ila kwengine hamna lolote. na kwa sababu ya kulimbikiza mavazi huwa wananuka kikwapa balaa wakizivua hizo.
 
Yaani waislamu sijui wanamatatizo gani, hawaheshimiani, hawaheshimu viongozi wao, hawaheshimu dini zingine wala hawaheshimu madhehebu mengine wala uhuru wa mtu mwingine. Unatakq ushahidi, Ona hili andiko.
 
Yaani waislamu sijui wanamatatizo gani, hawaheshimiani, hawaheshimu viongozi wao, hawaheshimu dini zingine wala hawaheshimu madhehebu mengine wala uhuru wa mtu mwingine. Unatakq ushahidi, Ona hili andiko.
Karibu Zakayo, kwenye Hilo andiko ambaye hajaheshimiwa ni nani?
 
Umeshiba ugali karibu tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…