Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves)

Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves)

Mtyela Kasanda

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
554
Reaction score
818
Tuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
 
Tuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
sina uwakika juu ya simu za mkononi ila kwa landline uwaga radi zinasafili na copper cable
 
Huu ushamba ni balaa; ukipanda ni hatariii; ukishuka ndiyo balaa; sasa tunakoelekea lazima utaleta mabalaa.
 
 
Kwani simu haitumii umeme? Wewe unadhani battery ni nini kama sio umeme?
ukiwa ndani ya nyumba na simu yako hujaiweka chaji huna cha kuhofia. Radi inatafuta pa kupitishia umeme, na sehehmu ya juu kabisa yenye uwezo wa kupitisha umeme haiwezi kuwa ndani ya nyumba yako.
 
Mimi natoka nje ya mada ila ni swali linalohusiana, kuna mtu aliniambia huu umeme una nguvu kuliko radi, kama upo karibu na radi inapiga sana bora usubiri hapo inaweza piga maeneo ya karibu lkn sio karibu na hii high tension power line.

images (1).jpeg
 
Tuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
Mkuu naona umesahau kwamba cm inatumia umeme
 
ukiwa ndani ya nyumba na simu yako hujaiweka chaji huna cha kuhofia. Radi inatafuta pa kupitishia umeme, na sehehmu ya juu kabisa yenye uwezo wa kupitisha umeme haiwezi kuwa ndani ya nyumba yako.
Hivi radi huwa inapiga sehemu gani hadi unakuta mtu analalamika kuwa vitu vya ndani vimeungua sababu ya radi.
 
Hivi radi huwa inapiga sehemu gani hadi unakuta mtu analalamika kuwa vitu vya ndani vimeungua sababu ya radi.
radi ni umeme, kwa hiyo inapita kwenye njia za umeme, kama kuna radi nje vifaa vilivyoungwa kwenye umeme vitadhurika (radio, tv n.k) kwahiyo ni bora ukachomoa vifaa vya umeme kutoka kwenye switch mpaka ziishe
 
Tuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
Dah....umeandika pointi ya maana....Ila umeijenga kwa hoja za kipuuzi....natanguliza samahani zangu za dhati [emoji2960]
 
Tuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
Ndugu achana kabisa na kitu kinachoitwa Radi. nakumbuka kuna mwaka mazungu walifunga mtambo wa PBX (mtambo wa mawasiliano)kwenye halmashauri ya Morogoro.walifunga na vitu flani vinaitwa Arrester ili kuzuia Radi.Kuna siku ilipiga Radi ya hatari, ikaondoka na mtambo pamoja na Arrester zenyewe zilizokuwa zinazuia Radi.

Kifupi ni kwamba hakuna kifaa kinachokupa uwakika wa 100% kwenye kuzuia Radi
 
Ndugu achana kabisa na kitu kinachoitwa Radi. nakumbuka kuna mwaka mazungu walifunga mtambo wa PBX (mtambo wa mawasiliano)kwenye halmashauri ya Morogoro.walifunga na vitu flani vinaitwa Arrester ili kuzuia Radi.Kuna siku ilipiga Radi ya hatari, ikaondoka na mtambo pamoja na Arrester zenyewe zilizokuwa zinazuia Radi.

Kifupi ni kwamba hakuna kifaa kinachokupa uwakika wa 100% kwenye kuzuia Radi
ni kweli mkuu nakubaliana na wewe sehemu kama za IRINGA ama sehemu zenye radi sana unapofunga pbx yakupasa kufunga na Arrester uwa zinasaidia kwa namna flan ila radi inapozidi uwa Arrester zinazidiwa pia
 
Back
Top Bottom