Radio Free Afrika watakiwa kujieleza kwanini wasiadhibiwe kwa kurusha kipindi cha 'Amka na BBC' bila mizania

Dawa ni kumwomba Mungu atuepushe na utawala huu aisee kwa style hii tutakuja kuwa na hali mbaya kwa kila nyanja
 
Wameambiwa na TCRA ni marufuku kwa vituo vya Radio na Tv za ndani kujiunga na hayo mashirika ya nje bila kupata kibali. Kazi kweli kweli, yaani ni pini kwa kwenda mbele kuelekea uchaguzi.
Huyu mtu atakumbukwa kwa lipi akifariki?
 
Sawa kabisa wafunge na ubalozi wa Marekani maana ndio washenzi kabisa wafunge pia misikiti na makanisa
 
Ndio tunakoelekea.
 
Kura kwa Lisu tu
 
Zilitungwa na bunge Wakati Lisu akiwa mbunge na chadema wakiwa wabunge kwenye kipindi Cha Bunge la 2015-2020

Hapa CDM nawatetea huwa wanapinga kila kitu bungeni wasinge kubali sema wengi walisema ndiooo ikapita ili itunyoooshe wanyonge dah
 
Ee Mungu fanya jambo ili nchi uliyoiumba iwe na amani halisi.
 
Nani kakwambia wanadhibiti??? Ushawai jifungia ndani na paka alafu ukaanza kumpiga????

Ndo wanachokifanya magufuli na vyombo vyake. Majibu watayapata siku si nyingi.
Kwani wewe umenielewa vipi.? Naona umeniattack tu.
 
Narudia tena kwa msaada wa wale msioelewa, balancing ni kwenye mahojiano tu, narudia tena ni kwenye mahojiano tu siyo kwenye NEWS jamani!
 
Mkuu Tanzania si nchi ya kishamba Ila washamba ni hawa viongozi wetu wa awamu hii and we have all the power ya kuwatoa either kwa kura au kwa nguvu
Kabisa mkuu.... Umenena vema ila ushamba wetu ni pale tunapofumbia macho mambo yote machafu......

Lazima tuchukue hatua stahiki October 28
 
Korea kaskazini hii hapa... habari ziwe zakumsifu mwenye nyumba!!
 
Sasa sie wasikiliza BBC tutakuwa tunajiunga through which station?
Mamaee awamu ngumu
Wameambiwa na TCRA ni marufuku kwa vituo vya Radio na Tv za ndani kujiunga na hayo mashirika ya nje bila kupata kibali. Kazi kweli kweli, yaani ni pini kwa kwenda mbele kuelekea uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…