Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Teh Teh mkali wa radio
Zamani nilikuwaga nakuheshimu wewe hadi naogopa hata kuargue na wewe ila siku hizi dah nakuona ka mlevi mwenzangu tu! Teh! Teh!
Chukua likizo loya uachane na kushabikia udaku walau kwa muda.
Ulikuwaga unatema pwenti wewe, yaani ukikosoa unakosoa kweli mpaka haters/fans wanakubali.....vivyo hivyo na ukisifia pia!
Ila sasa hivi mmmmhh nakukubali tu kwenye kumgeza le mutuz!