Radio Safina this is too much

Radio Safina this is too much

Baraka21

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
1,262
Reaction score
3,184
Maombi tumeanza saa tano usiku hadi sasa hivi yanaendelea na ni kila siku.

Sasa hivi ndio mkurugenzi mkuu Daniel Lema kaingia na maombi mengine.

Hapa shetani lazima aombe poo!

Hongereni watu wa Arusha.

Kwa maombi haya huwa mnalala kweli? Tupeane uzoefu.

Watu wengi waliopiga simu na tatizo la ulevi kwa wanafamilia na magonjwa mbalimbali.
 
Wizi Mtupu ndugu yangu.

Sikuhizi huo ni Mradi wa Daniel Lema na wenzie

Wanadanganya sana watu kwa lengo LA kupata pesa tu

Yaani wanachosisitiza ni SADAKA TU na wanaandaa watu kutoa shuhuda za uongo...NINA UHAKIKA NA HILI

Wakaona kuwa Mwakasege anapata pesa kupitia semina nao sikuhizi wameanzisha hizi semina na ukiangalia MADA ya semina zenyewe ndugu sio za kumjenga Mtu kiroho

Nimekuwa na Safina tangu enzi za akina Mwabukusi na Luca

Sasahivi SAFINA RADIO ni Mradi wa kupata pesa.
 
Bora hao star TV wanalikipindi fulani la wanafunzi wanaonyesha wanakatika humo yani michezo mingine tabu tupu.. mwanafunzi unamuwekea bongo fleva mbele ya kamera anaanza kukatika TCRA hivi hamuonagi hilo likipindi halina maudhui mazuri kwa jamii hususani hao wanafunzi wanakata miuno tu!

Hata kama ni michezo wawe wanaangalia na chakuonyesha mbele ya kamera mengine hayafai wale ni wanafunzi na sio wanenguaji.
 
Wizi Mtupu ndugu yangu.

Sikuhizi huo ni Mradi wa Daniel Lema na wenzie

Wanadanganya sana watu kwa lengo LA kupata pesa tu

Yaani wanachosisitiza ni SADAKA TU na wanaandaa watu kutoa shuhuda za uongo...NINA UHAKIKA NA HILI

Wakaona kuwa Mwakasege anapata pesa kupitia semina nao sikuhizi wameanzisha hizi semina na ukiangalia MADA ya semina zenyewe ndugu sio za kumjenga Mtu kiroho

Nimekuwa na Safina tangu enzi za akina Mwabukusi na Luca

Sasahivi SAFINA RADIO ni Mradi wa kupata pesa.
Hatari sana mkuu
 
Maombi tumeanza saa tano usiku hadi sasa hivi yanaendelea na ni kila siku.

Sasa hivi ndio mkurugenzi mkuu Daniel Lema kaingia na maombi mengine.

Hapa shetani lazima aombe poo!

Hongereni watu wa Arusha.

Kwa maombi haya huwa mnalala kweli? Tupeane uzoefu.

Watu wengi waliopiga simu na tatizo la ulevi kwa wanafamilia na magonjwa mbalimbali.

Usanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!

Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
 
Usanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!

Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
Dah
 
Bora hao star TV wanalikipindi fulani la wanafunzi wanaonyesha wanakatika humo yani michezo mingine tabu tupu..
Hata kama ni michezo wawe wanaangalia na chakuonyesha mbele ya kamera mengine hayafai wale ni wanafunzi na sio wanenguaji.
Kwa hiyo hapo unachosikitikia ni kuonyeshwa na camera, sio wanafunzi kukatika!
 
Usanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!

Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
Mkuu usisahau ile fruto inayouzwa pale eti ni damu ya Yesu na yale maji chumvi na mafuta ..wife wangu aliwahi kwenda uko akapeleka shati langu eti niache pombe. .nilichokifanya nikukanyagia mpaka mwisho wese kama lote mwenye akajizimia fegi
 
Yani nikitoka nje hapa kwangu “Njiro” Mzee Ana gorofa 3 kali haziishi mtu, watoto wachache wakubwa; bado anajenga na Kukusanya sadaka, amestaafu anaumwa
Na uchungaji na uaskofu alisomea wapi? Hata sauti yake redioni inaonyesha ni mgonjwa.
 
Mkuu usisahau ile fruto inayouzwa pale eti ni damu ya Yesu na yale maji chumvi na mafuta ..wife wangu aliwahi kwenda uko akapeleka shati langu eti niache pombe. .nilichokifanya nikukanyagia mpaka mwisho wese kama lote mwenye akajizimia fegi
Acha pombe mkuu unamtesa wife hadi radioni huko ha ha ha
 
Wewe huwezi kumzuia mwanamke kwenda kusali ataenda tu
Mimi nilimuona siku moja wife kwenye tv ya mchungaji moja uko kawe anamshukuru Mungu kwa kumaliza ujenzi nikanyamaza tu
Usanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!

Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
 
Usanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!

Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
Wameshindwa kumuombea mzee wao apone,haluna kitu hapo ni utapeli tu...mama na mtoto ndio wanaponda sadaka kila gari zuri wananunua ....mtoto ni full kula bata
 
Back
Top Bottom