baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Bora umkanye maana akilewa mambo ya safina utachokaUsanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!
Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
Mimi bibi yangu ni mlevi wa safina nakerekeka mpka yeye ameshajua. Pesa yoyote unayompa ni kukimbiza kaloleni pale awapelekee, utasikia ngoja nimwambie lema, ngaoja nimpigie bariki akuombee kweny hii ishu, sie huku mkoani unapambana ukimtumia tu pesa anakimbiza fasta kwa hao kina bariki. Kuna siku niliona ndani bank slip ya 2.5 million nilipata moto. Yani wanatapeliwa tu.