Radio Safina this is too much

Radio Safina this is too much

Wizi Mtupu ndugu yangu.

Sikuhizi huo ni Mradi wa Daniel Lema na wenzie

Wanadanganya sana watu kwa lengo LA kupata pesa tu

Yaani wanachosisitiza ni SADAKA TU na wanaandaa watu kutoa shuhuda za uongo...NINA UHAKIKA NA HILI

Wakaona kuwa Mwakasege anapata pesa kupitia semina nao sikuhizi wameanzisha hizi semina na ukiangalia MADA ya semina zenyewe ndugu sio za kumjenga Mtu kiroho

Nimekuwa na Safina tangu enzi za akina Mwabukusi na Luca

Sasahivi SAFINA RADIO ni Mradi wa kupata pesa.
shetani kazini, nenda na wewe kaanzishe wakwako kama unazani ni kazi rahisi
 
Kwa aliyeanzisha huu Uzi, na kila aliyechangia (Nikiwemo Mimi), Tujiulize Swali hili la Bonny Mwaitege...

"Utanitambuaje Kama nimeokoka?"
No one on earth anapaswa kusema ameokoka na bado anaishi, kuokoka ni pale itakopewa hesabu yako na mwingi wa rehema kwa huruma yake akaona unafaa kuingia peponi,
/mbinguni. Hii ndo definition ya kuokoka kwa upande wangu. Yani umeepuka kuingia motoni na kiungia peponi.
Lakn bado unaishi, unamkosea Mungu kwa mawazo, maneno na matendo bado hujaokoka
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapo pakuonyeshwa na Mungu huwa wanacheza na saikolojia tu, hafu wanapenda waumini wanaotoa sana sadaka ka Bibi yako anavo wawekea mafuta lazima wawe wanakuja tena wanaweza mtabiria kuwa analogwa sana wawe wanakuja kumuombea daily, Kuna sehemu flani ya pastor bonge anapenda kuhubiria sana wadada single Ili waolewe Sasa huyo dada alikuwa hapati mimba akamtabiria kuwa huko tumboni Kuna chatu ndio anazuia mimba, dada alipiga ukunga akadondoka chini kwa nguvu na kuumia
sasa kama ni uongo, mbona ninyi kina mama na wanawake ndo mnaongoza kudondoka kwa mapepo, makanisani mwao? na ndo huwa mnajaza makanisa yao.
 
Maombi tumeanza saa tano usiku hadi sasa hivi yanaendelea na ni kila siku.

Sasa hivi ndio mkurugenzi mkuu Daniel Lema kaingia na maombi mengine.

Hapa shetani lazima aombe poo!

Hongereni watu wa Arusha.

Kwa maombi haya huwa mnalala kweli? Tupeane uzoefu.

Watu wengi waliopiga simu na tatizo la ulevi kwa wanafamilia na magonjwa mbalimbali.
Wajinga hawawezi kuisha Nchi hii,mwenzenu yupo kazini ninyi mnakesha bila sababu.
 
Wizi Mtupu ndugu yangu.

Sikuhizi huo ni Mradi wa Daniel Lema na wenzie

Wanadanganya sana watu kwa lengo LA kupata pesa tu

Yaani wanachosisitiza ni SADAKA TU na wanaandaa watu kutoa shuhuda za uongo...NINA UHAKIKA NA HILI

Wakaona kuwa Mwakasege anapata pesa kupitia semina nao sikuhizi wameanzisha hizi semina na ukiangalia MADA ya semina zenyewe ndugu sio za kumjenga Mtu kiroho

Nimekuwa na Safina tangu enzi za akina Mwabukusi na Luca

Sasahivi SAFINA RADIO ni Mradi wa kupata pesa.
Acha kujitafutia laana bure wewe na kizazi chako chote kwa kuandika usivyovijua. Kwenye haya mambo ya rohoni wewe ni kipofu, so mengine yakupite tu.
 
No one on earth anapaswa kusema ameokoka na bado anaishi, kuokoka ni pale itakopewa hesabu yako na mwingi wa rehema kwa huruma yake akaona unafaa kuingia peponi,
/mbinguni. Hii ndo definition ya kuokoka kwa upande wangu. Yani umeepuka kuingia motoni na kiungia peponi.
Lakn bado unaishi, unamkosea Mungu kwa mawazo, maneno na matendo bado hujaokoka
Wokovu si dini, wala si Jambo jipya.

Wokovu ni Kuuacha utu wa zamani (Matendo yasiyo mpendeza Mungu, mfano Ulevi, Uzinzi, Uongo, Uuaji, Wizi, Lugha mbaya n.k), na Kumrudia Mungu na kuanza kufanya yaliyo kadiri ya maelekezo ya Mungu.

Wokovu ni neema tuipatayo kwa njia YA IMANI KUPITIA YESU KRISTO WA NAZARETH.. Sasa Kama mtu Hamuamini Yesu Kristo wa Nazareth Basi ni wazi kuwa bado hujafikiwa/hujaipata Neema hii..

UAMUZI unabaki kwako Sasa, Kuifuata neema hii tuipatayo kwa njia ya imani kupitia KRISTO Bwana wetu au Kubakia huko uliko (Ambako wewe unaona kunakufaa).. Ukiichagua neema hii Sawa, Ukibaki Uliko Pia Sawa.

Kuipata neema hii na kuiishi kikamilifu kimwili na kiroho basi wewe unayo nafasi ya kuurithi ufalme wa Mungu, lakini kuipata na kuyarudia maovu au kutoiishi sawasawa (Yani nusu kwa Yesu nusu unafuataa matendo na tamaa za Mwilini) Basi ni wazi kuwa huna nafasi katika ufalme wa Bwana, maana Mungu hapendi vuguvugu.. Chagua Sasa, Kuwa Moto au Baridi.

UAMUZI NI wako, njoo kwa Yesu au Ubaki huko uliko, Hakuna atakayekulazimisha.

Nisamehe Sana nimeandika mambo mengi, lakini yote ni katika kukuelezea juu ya wokovu/kuokoka... Sasa Basi naomba nitoe mjumuisho wa nilicho andika.

Ili uokoke, kwanza inakupasa kumuamini Mungu na Mwanaye Yesu Kristo ambaye kupitia huyo ndio utapata huo wokovu... Sasa Kama humwamini Kristo huwezi kuuamini wokovu.

Asante na Kwaheri.
 
Wewe huwezi kumzuia mwanamke kwenda kusali ataenda tu
Mimi nilimuona siku moja wife kwenye tv ya mchungaji moja uko kawe anamshukuru Mungu kwa kumaliza ujenzi nikanyamaza tu
Acha masihara bro
 
hv Shetani mmoja ndiye anafanya mishe mishe dunia nzima na hachoki au halali ?

kama ana wasaidizi wake anawaamrisha cha kufanya akiwa wapi ?
 
Bora umkanye maana akilewa mambo ya safina utachoka
Mimi bibi yangu ni mlevi wa safina nakerekeka mpka yeye ameshajua. Pesa yoyote unayompa ni kukimbiza kaloleni pale awapelekee, utasikia ngoja nimwambie lema, ngaoja nimpigie bariki akuombee kweny hii ishu, sie huku mkoani unapambana ukimtumia tu pesa anakimbiza fasta kwa hao kina bariki. Kuna siku niliona ndani bank slip ya 2.5 million nilipata moto. Yani wanatapeliwa tu.
Haya makanisa ya Arusha yanawasulubisha Sana wa wanawake..
 
Wokovu si dini, wala si Jambo jipya.

Wokovu ni Kuuacha utu wa zamani (Matendo yasiyo mpendeza Mungu, mfano Ulevi, Uzinzi, Uongo, Uuaji, Wizi, Lugha mbaya n.k), na Kumrudia Mungu na kuanza kufanya yaliyo kadiri ya maelekezo ya Mungu.

Wokovu ni neema tuipatayo kwa njia YA IMANI KUPITIA YESU KRISTO WA NAZARETH.. Sasa Kama mtu Hamuamini Yesu Kristo wa Nazareth Basi ni wazi kuwa bado hujafikiwa/hujaipata Neema hii..

UAMUZI unabaki kwako Sasa, Kuifuata neema hii tuipatayo kwa njia ya imani kupitia KRISTO Bwana wetu au Kubakia huko uliko (Ambako wewe unaona kunakufaa).. Ukiichagua neema hii Sawa, Ukibaki Uliko Pia Sawa.

Kuipata neema hii na kuiishi kikamilifu kimwili na kiroho basi wewe unayo nafasi ya kuurithi ufalme wa Mungu, lakini kuipata na kuyarudia maovu au kutoiishi sawasawa (Yani nusu kwa Yesu nusu unafuataa matendo na tamaa za Mwilini) Basi ni wazi kuwa huna nafasi katika ufalme wa Bwana, maana Mungu hapendi vuguvugu.. Chagua Sasa, Kuwa Moto au Baridi.

UAMUZI NI wako, njoo kwa Yesu au Ubaki huko uliko, Hakuna atakayekulazimisha.

Nisamehe Sana nimeandika mambo mengi, lakini yote ni katika kukuelezea juu ya wokovu/kuokoka... Sasa Basi naomba nitoe mjumuisho wa nilicho andika.

Ili uokoke, kwanza inakupasa kumuamini Mungu na Mwanaye Yesu Kristo ambaye kupitia huyo ndio utapata huo wokovu... Sasa Kama humwamini Kristo huwezi kuuamini wokovu.

Asante na Kwaheri.
Ninamuamini aliyemuumba mimi na wewe na yesu (pbuh) . Ninamshukuru sana Mungu alienitoa nilipokua na kuniongoza kwenye njia sahihi na zaidi naomba aniongoze mimi wewe na wengine wote kwenye njia ya wale anayowaridhia na wala sio wale aliowakasirikia..
Audhubillah, ametakasika mno kuliko chchote na hana mwana.
 
Haya makanisa ya Arusha yanawasulubisha Sana wa wanawake..
Wengin watakuambia chuki za dini, lkn hukuti wakiwaambia hawa wanawake wa waheshimu waume zao kutwa kukaa huko safina j4 alhamis na jmos na wakirudi majumbani wanasikiliza redio usiku kucha huku wao wanaingiza pesa za hawa.
 
Aiseeee, we ni mkongwe. Mara nyingi huduma huanza vizuri ila baadaye huamka roho ya tamaa na hiyo ndio huwa mwisho wa huduma. Mungu awasaidie
Kwasasahivi hawamtumikii Mungu tena

Juzi walisema kuwa wana sadaka za getini na za ndani ya ukumbi na wataweka wanazoita ''Sanduku la Agano'' huko

Kweli haya ni maneno sahihi?

Wanauza mpaka maji, Fruto, vitambaa na kalamu eti wanasema kalamu ni za Israel na zina upako tofauti na kalamu za Tanzania.

SAFINA RADIO SASA MNATIA AIBU, MNAMWAIBISHA YESU KRISTO.
 
Acha kujitafutia laana bure wewe na kizazi chako chote kwa kuandika usivyovijua. Kwenye haya mambo ya rohoni wewe ni kipofu, so mengine yakupite tu.
Hahaha, haya matisho ndio huwa mnawapa wanawake na wengine wadhaifu wa kiroho ili mpate pesa zao.

Mimi nilihusika kuanzisha Safina Radio, nimehudumu pale for years ukitaka ushahidi utapata

Kuna mambo mengine sitaki kuyaweka wazi hapa kuhusu Daniel Lema na mama Hellen Lema kwa kuwastahi tu

Ila mkiendelea hivi nitaanza kuanika maovu yao.
 
Kiukweli mimi ni muumini mkubwa wa safina sasa hivi biashara imetawala jaman etii nunua CD hata kama huna tv etc ghaii??
Neno linahubiriwa na pesa inatafutwa so akili kumkichwa watu wasimame na neno ya mafundisho ya neno mambo mengine ya bongo movie waachane nayoo
 
Nilijua mtakuwepo na si bure nawewe in mnufaika wa sadaka za Safina.

Acheni wizi, mmegeuza ibada kuwa mradi wenu wa kupata pesa

Mnatangaza shuhuda za UONGO KABISA na kuigiza kunena kwa lugha

Mimi ninawafahamu sana ninyi tangu Safina inaanza
hayo umesema wewe,

mimi natoa shuhuda kwamba, nilishawahi kusali na kuomba pale safina na nilifanikiwa.

chamsingi waombapo na kusali huomba kwa jina la Mungu na hutumia neno takatifu

kilichobakia ni wewe na imani yako.
 
Back
Top Bottom