Yap, nakaa Dar. Lakini pia hata mikoani Clouds inasikika. Au hao wasanii wanaolalamika huwa mnakutana vijiweni...???
Sio kila anayelalamika basi anaonewa kweli. Muda mwingine tunashindwa kukubali kutokukubaliana au tunashindwa kuwa na makubaliano chanya na demands wanazotaka wao kama service providers, so tunaishia kulalamika tu.
Hata watoto wa kambo muda mwingine huwa tunawaonea huruma kwa kudhani kweli wanaonewa kweli, bila hata kupima tabia zao binafsi. Yawezekana akawa mtoto ni pasua kichwa na full mibangi, ila tunawatetea tu.