PM pls!Habari ,kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Nahitaji rafiki mtu mzima,kutoka upande wowote wa dunia umri kuanzia miaka 35 ,ambaye amepitia changamoto tofauti za kimaisha bila kukata tamaa ,jinsia yoyote, smart,straight forward ili unikosoe vizuri ambapo siko sahihi na mshauri mzuri.Mi pia ni mtu mzima sana ndomaana nahitaji kuongea na mtu mzima ambaye anajua maana ya kula ugali na chumvi ili watoto wasome vizuri .
Sina uhakika wa kujibu comments maana niko na mood yangu personal.
Asanteni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaahMimi umri ulivyozidi kusogea mbele niligundua bangi ndio rafiki wangu wa ukweli, marafiki ni wanafiki tu[emoji205]
Niko hapaHabari ,kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Nahitaji rafiki mtu mzima,kutoka upande wowote wa dunia umri kuanzia miaka 35 ,ambaye amepitia changamoto tofauti za kimaisha bila kukata tamaa ,jinsia yoyote, smart,straight forward ili unikosoe vizuri ambapo siko sahihi na mshauri mzuri.Mi pia ni mtu mzima sana ndomaana nahitaji kuongea na mtu mzima ambaye anajua maana ya kula ugali na chumvi ili watoto wasome vizuri .
Sina uhakika wa kujibu comments maana niko na mood yangu personal.
Asanteni
Nitumie picha yakoKuongea sana ni kipaji
Sinaga marafiki ,ila kwasasa kuna ulingo nimeingia naona kabisa nahitaji kupata msaada wa kimawazo ili nisonge mbele.Kati ya marafiki ulionao sasa, chambua upate angalau mmoja tu wa kwenda nae nchi ya Ahadi, ya maziwa na asali.
Kwa umri wako sikushauri utafute wapya.