nilidhani utainvalidate setifiketi yenyewe kumbe ZD aichukue hivyo kama padri alivowapa siku ile....
na huko kwa kina eliza ndo mastress unayanunua sasa
Aichukue hivyo hivyo. akitaka kuichana sawa, kuitundika kwa rafiki yake haya, kuitengenezea fremu sawa, kuipeleka TAMWA twende. after all its just a peace of paper. Yu knoo woram seyying?
Aichukue hivyo hivyo. akitaka kuichana sawa, kuitundika kwa rafiki yake haya, kuitengenezea fremu sawa, kuipeleka TAMWA twende. after all its just a peace of paper. Yu knoo woram seyying?
Currently Active Users Viewing This Thread: 20 (11 members and 9 guests) bht,carmel+, compressor, Haruna JM Sauko, herikujua, MwanajamiiOne, NgomaNzito, Triplets, Ziondaughter
Naona bado hakijaeleweka hapa. Haya!
hahaaa na mtagawana vitu sawa kwa sawa shem!!! Lakini kiukweli kutambulishwa rafiki ya partner wako ni hatari kwa kuwa hujui the motive behind labda ndo itatumika kama defence mechanism kwamba hata next time ukiwaona pamoja unajua aaah yule mbona ni rafiki tu kumbe wenzio haoooo wanapeana mautamuuuuuuu
Jamani, introduction si mpaka jamaa aingie ndani au apikiwe! Ila hata kama ni hivyo, she better introduce. Kwasababu nikimkuta na mtu katika maeneo hatarishi, introduction will be too late. Ile namba 1, 2 na 3 vitaaplaiwa on the spot. That will be too late for her to introduce her real friend. her mistake, anyway!
Akitaka achukue vyote! I will start afresh! Ili mradi, hiyo nyumba niliyoijenga kwa jasho langu itawekewa ulinzi mkali. Bastard yeyote akiingia ndani kwenda kuvunja amri ya sita kwenye kitanda nilichonunua mimi! Ash to Ash! You knop wora I mean! Fire man!
Mama la Carmel ndani ya nyumba kwa mara nyingine. Leo mpaka kieleweke! Lazima muwaintrodyuzi marafiki zenu kwa spouse zenu. Whether you like or not!
mi siku atakayotoa introduction ya kiivyo lazima anieleze pia ilikuwaje mpaka wakawa so close na mtu nisiyemfahamu bila mimi kujua, yaani kwa nini alinificha??? siku hiyo ni mpaka kieleweke na ntamwambia wazi kwamba huo urafiki wao mimi siu fagilii kwa sababu tayari una walakini, kama hakuna marafiki wa kiume wa kushauriana, kubadilishana mawazo na kusaidiana ktk mambo bora tubaki wenyewe tu...
Now i understand!Yani tukio mojawapo imetokea nyumbani kwake huyo kaka,Hata intro haijaanza,wacha waanze kurushiana magumi,Nani huyu nakwambia!!!!! utanieleza leo!!!.Sijui walikuwa na ugomvi wa siku nyingi? Halafu nilikuwa mgeni maskini hapa mjini hata manzese sipajui,wangeniua sijui ingekuwaje,wacha nikimbie nje haraka, yani hatari sana.
Na mimi nataka ku-introduce!Yeah! I knoo wora ya seying gal! Sure I do!
And you mean it. I can see! Kwa sababu we hujiamini au huaminiki, siyo?
Hahahahahaa,Hayo ndio maisha Carmel,Now i understand!