Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

Jumamosi,just before geti tugeza.Unaona nimerudi kwenye topic

Si umeona nimekugongea na senksi! Mlete, kama ni zero pub aje na hela ya kutosha kuzungusha raundi kadhaa.
 
Na wewe bht,naomba muone invizibo haraka.Ili uwe level ya wapwa ya uligendi!

ntafanya hivo ZD (same dei with carmel if she doesnt mind mimi kudesea) ila invizibo wapo wengi siku hizi loh....wananichanganya
 
Si umeona nimekugongea na senksi! Mlete, kama ni zero pub aje na hela ya kutosha kuzungusha raundi kadhaa.


ila msisahau tu msije tumia muda wetu manake tunasafiri asubuhi hiyo jumamosi, sasa watu wakiwa wamshautwika itakuwaje mpwa! stuka
 
ntafanya hivo ZD (same dei with carmel if she doesnt mind mimi kudesea) ila invizibo wapo wengi siku hizi loh....wananichanganya

bht for the first time: Whats the title of this thread?
 
ha ha haaaaaaa, kuna vitu vya muhimu zaidi kwa sasa zaidi ya kuboldiwa. Si unajua tena najiandaa kwenda moshi kuhesabiwa. Ila usijali , bold yangu itakuwa ya kihistoria, yani tarehe 1.1.2010.

hehehhehehe,Carmel juzi tu si ulienda shinyanga jamani? Sijawahi sikia Moshi kuna wide load! teh teh!
 
tatizo hapa ni kwamba kwanini hakum introduce tangu mwanzo? mume ninayeongea nae kila siku kuhusu yaliyotokea siku nzima kama amepata rafiki kweli na hakuna longo longo lazima atasema tu na atakuwa anatoa updates urafiki unavyoendelea kukua..yaani hata siku tukikutana inakuwa ni "mwaya nimesikia sana habari zako toka kwa my husband wangu, nafurahi kukutana na wewe leo..." na mambo kama hayo,mi hapo wala sina shida na mtu.
sio ati "rafiki wa karibu" kutoka no where tena ghafla bin vuup ...!

Tuko pamoja kabisa, kwamba kama uko honest, everything that happens which you are sure hakuna dhambi involved, na kutegemeana na level ya trust iliyopo kati yenu mtakuwa mnaelezana. so hata kama umekutana na mtu ambaye unadhani amecontribute something new in your life and he is worth to be added in your friends list after checking and cross checking, you will surely say something,. Lakini pia huwezi tu kukutana na mtu hata hujamjua vizuri malengo yake na agenda zake ,ukakurupuka et this is my best friend no! hutaeleweka. hii ni slow process hadi mtu aqualify hilo daraja, jinsi mnavyoishi, mnavyoshirikiana katika tabu na raha, (i mean, misiba, ugonjwa, sherehe nk)
 
ila msisahau tu msije tumia muda wetu manake tunasafiri asubuhi hiyo jumamosi, sasa watu wakiwa wamshautwika itakuwaje mpwa! stuka

Hahaha! Hii siyo off topic. Kaangalie SENKSI kule. Kama atakuwa rafiki wa kweli ntamjua baada ya kuutwika. Si unajua raha ya kanywaji?
 
Hahaha! Hii siyo off topic. Kaangalie SENKSI kule. Kama atakuwa rafiki wa kweli ntamjua baada ya kuutwika. Si unajua raha ya kanywaji?

eeeh zinazohusiana na kilauri zote zipo kwenye topic (very inclusive, they fit in any topic)
 
and hw many timees do i need to go off topic before u ban me?

For the second time; only one warning remained; what is the title of this thread, bht?
 
For the second time; only one warning remained; what is the title of this thread, bht?
am on board Xpin, mligend aje na style ya maana kuintroduce vinginevyo bora wabaki huko huko na 'ubest' wao
 
Tuko pamoja kabisa, kwamba kama uko honest, everything that happens which you are sure hakuna dhambi involved, na kutegemeana na level ya trust iliyopo kati yenu mtakuwa mnaelezana. so hata kama umekutana na mtu ambaye unadhani amecontribute something new in your life and he is worth to be added in your friends list after checking and cross checking, you will surely say something,. Lakini pia huwezi tu kukutana na mtu hata hujamjua vizuri malengo yake na agenda zake ,ukakurupuka et this is my best friend no! hutaeleweka. hii ni slow process hadi mtu aqualify hilo daraja, jinsi mnavyoishi, mnavyoshirikiana katika tabu na raha, (i mean, misiba, ugonjwa, sherehe nk)

Well said Carmel! I wish kina ZD, bht, triplets,nyamayao wangekuelewa. Ntawaandalia kitchen party uje uwafunde.
 
Ahaa kumbe tatizo ni time ya utambulisho siyo? Kama nimefahamiana naye siku za karibuni baada ya kupata kazi sehemu nyingine? Au kama ni mfanyabiashara, si unajua mambo ya biashara? at any time unapata contacts mpya zinazokuzalishia marafiki wapya. Inakuwaje hapo? Utakuwa tayari kutambulishwa sasa?

hapo bado haileweki vizuri kaka yangu Chris, mtu umemjua karibuni anakuwaje rafiki wa karibu kiasi hicho?

navyoona mimi, mume aje siku moja "Triplets, leo/jana/juzi nimekutana na .... yaani mwanamke anajua biashara/kazi kweli kweli bla bla" kesho kutwa anakuja "unakumbuka yule ....niliye kwambia siku ile?, basi leo kuhusu ile ishu ya bla bla kanishauri vizuri sana bla bla.."

sasa hapo siku moja akija na kusema anapenda na mimi nikutane na huyu rafiki yake,itakuwa sawa tuu na ataishia kuwa rafiki yangu pia, kuna marafiki zangu wazuri sana na wakaribu nilionao sasa ambao nimewapata ki hivyo...
 
Well said Carmel! I wish kina ZD, bht, triplets,nyamayao wangekuelewa. Ntawaandalia kitchen party uje uwafunde.
At least nimeanza kuelewa na mimi.Kumbe time will tell! very well said!,Kumbe marafiki ruksa lakini kwanza uwapime.
 
Ugomvi utaanza pale mtakapokuwa na jambo la kuamua(decision making)halafu uanze kusema ooh rafiki yangu (sijui Asha)kanishauri hivi na vile na mda huo mkeo anakupa wazo halafu ulikatae lake uchukue la huyo Asha hapo ndo wivu utaanza na vijisababu visivyo vya msingi.
 
hapo bado haileweki vizuri kaka yangu Chris, mtu umemjua karibuni anakuwaje rafiki wa karibu kiasi hicho?

navyoona mimi, mume aje siku moja "Triplets, leo/jana/juzi nimekutana na .... yaani mwanamke anajua biashara/kazi kweli kweli bla bla" kesho kutwa anakuja "unakumbuka yule ....niliye kwambia siku ile?, basi leo kuhusu ile ishu ya bla bla kanishauri vizuri sana bla bla.."

sasa hapo siku moja akija na kusema anapenda na mimi nikutane na huyu rafiki yake,itakuwa sawa tuu na ataishia kuwa rafiki yangu pia, kuna marafiki zangu wazuri sana na wakaribu nilionao sasa ambao nimewapata ki hivyo...

Thats my girl! Kwa hiyo wewe uko tayari kumfahamu rafiki wa kike wa mumeo ili mradi tu taratibu za utambulisho zifuate mtiririko yakini. Si ndio? Ukisema ndio nakugongea senksi!
 
At least nimeanza kuelewa na mimi.Kumbe time will tell! very well said!,Kumbe marafiki ruksa lakini kwanza uwapime.
Kwa hiyo kama swala ni time will tell, utakuwa tayari kutambulishwa rafiki wa kike wa mumeo if time will be involved? Sema ndiyo nikugongee senksi!
 
Back
Top Bottom