Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

And here I am with the feedback:
Jana nilivotoka machale yakanicheza. Nikaamua ngoja kwanza nitesti zali kwa maneno kwanza. Nisije peleka kabinti ka watu kakaambulia kipigo. Nikatinga home mapema kuliko kawaida. (nilimshangaza mamsapu, siyo kawaida yangu kuwahi kurudi). Nikamuuliza kama ana rafiki wa kiume. Akashtuka kidogo, ofkozi alipigwa na butwaa. Nikamwambia nina rafiki yangu wa kike nataka nimtambulishe kwake! LOL! Mahakama ikahamia nyumbani:
Huyo binti umemjulia wapi?Kazini. Ana umri gani? Miaka 30.Ameolewa?
Hapana. Ana mchumba? Sijui. Kwanini hujui? Sijamuuliza. Kwa nini hujamuuliza? Look here mama, nina marafiki wengi tu wa kiume hawajaoa na wala sijawauliza kama wana wachumba, kwa nini nimuulize huyu au kwa kuwa ni mwanamke?

Akaniangalia juu mpaka chini! LOL akaniambia kuna kitu namtafutia. Nikamwambia si kweli. Maswali yakaendelea; Kwa nini unataka kumtambulisha kwangu? Ili umjue. Unae rafiki mmoja tu wa kike? Nnao wengi. Mbona hao wengine huwatambulishi kwangu? (Nikasita kidogo) Yeye ndio anataka akuone nikaona si vibaya. Now look here playboy (ni mara yake ya kwanza kuniita hivyo) Go and tell that girlfriend of yours, kama anataka kunifahamu for good, aje hapa na mchumba wake au mme wake. Akija mwenyewe patakuwa hapatoshi hapa! LOL!

But thats not bad for starting, I can buy someone au naweza kumtumia mmoja wa wapwa zangu kujifanya ndie mchumbake, SIYO? Si atakuwa kashamfahamu rafiki yangu wa kike? And thats what I want anyway! HAHAHA!
hahahah Xpin nimeamini wewe una matatizo yaani umenichekesha sana ahahaha
kweli wewe binamu hamnazo nithamehe bure
 
And here I am with the feedback:
Jana nilivotoka machale yakanicheza. Nikaamua ngoja kwanza nitesti zali kwa maneno kwanza. Nisije peleka kabinti ka watu kakaambulia kipigo. Nikatinga home mapema kuliko kawaida. (nilimshangaza mamsapu, siyo kawaida yangu kuwahi kurudi). Nikamuuliza kama ana rafiki wa kiume. Akashtuka kidogo, ofkozi alipigwa na butwaa. Nikamwambia nina rafiki yangu wa kike nataka nimtambulishe kwake! LOL! Mahakama ikahamia nyumbani:
Huyo binti umemjulia wapi?Kazini. Ana umri gani? Miaka 30.Ameolewa?
Hapana. Ana mchumba? Sijui. Kwanini hujui? Sijamuuliza. Kwa nini hujamuuliza? Look here mama, nina marafiki wengi tu wa kiume hawajaoa na wala sijawauliza kama wana wachumba, kwa nini nimuulize huyu au kwa kuwa ni mwanamke?

Akaniangalia juu mpaka chini! LOL akaniambia kuna kitu namtafutia. Nikamwambia si kweli. Maswali yakaendelea; Kwa nini unataka kumtambulisha kwangu? Ili umjue. Unae rafiki mmoja tu wa kike? Nnao wengi. Mbona hao wengine huwatambulishi kwangu? (Nikasita kidogo) Yeye ndio anataka akuone nikaona si vibaya. Now look here playboy (ni mara yake ya kwanza kuniita hivyo) Go and tell that girlfriend of yours, kama anataka kunifahamu for good, aje hapa na mchumba wake au mme wake. Akija mwenyewe patakuwa hapatoshi hapa! LOL!

But thats not bad for starting, I can buy someone au naweza kumtumia mmoja wa wapwa zangu kujifanya ndie mchumbake, SIYO? Si atakuwa kashamfahamu rafiki yangu wa kike? And thats what I want anyway! HAHAHA!
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
mpwa summary bana!😀
umekuwa lijendi?
 
hahahah Xpin nimeamini wewe una matatizo yaani umenichekesha sana ahahaha
kweli wewe binamu hamnazo nithamehe bure

Tatizo unacheka afu unasahau kugonga senksi! Hahaha! Mpango utafanikiwa lakini! We subiri.
 
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
mpwa summary bana!😀
umekuwa lijendi?

Tukio la kihistoria hilo mpwa! Huyu binti wewe unapaswa kujifanya mchumba wake ili waifu amuone!
 
Binamu jana usiku mida ya saa tatu nimetembelewa na mgeni wa kiume ni kweli alikuwa rafiki wa kawaida kabisa kuanzia kindagateni mpaka new life jeneresheni aaha kwanza nikashituka kidogo mzee alikuwa room kapumzika maana hatujaonana muda mrefu saaaaaaaaaaana
jamaa kakaa sioni dalili za kuondoka nikamwambia tena na shem wako karudi toka huko alipokuwa akasema ohh itakuwa vizuri nimfahamu
nikaenda kumwamsha nikamwambia kuna rafiki yangu anataka kukusalimia akaulize wa kike wa kiume na kwa nini usiku huu ?..nikamwambia wa kiume ..duh mbona alinichenjia kinoma niliulizwa maswali kama niko police
Ilibidi nianze kutoa maelezo marefu mengine sikumbuki ndo akaamka kumsalimia bahati nzuri mgeni alikuwa muongeaji sana akaongelea mambo ya business ,mipira na siasa kisha akaondoka zake
..sijajua kama leo nitatwangwa tena maswali juu ya ujio wa huyo rafiki
 
Tukio la kihistoria hilo mpwa! Huyu binti wewe unapaswa kujifanya mchumba wake ili waifu amuone!

he he he he!
mpwaaaaaaaaaaaaa!
jana zero hapakuwa na mtu kabisa,meneja amekuulizia sana
 
Binamu jana usiku mida ya saa tatu nimetembelewa na mgeni wa kiume ni kweli alikuwa rafiki wa kawaida kabisa kuanzia kindagateni mpaka new life jeneresheni aaha kwanza nikashituka kidogo mzee alikuwa room kapumzika maana hatujaonana muda mrefu saaaaaaaaaaana
jamaa kakaa sioni dalili za kuondoka nikamwambia tena na shem wako karudi toka huko alipokuwa akasema ohh itakuwa vizuri nimfahamu
nikaenda kumwamsha nikamwambia kuna rafiki yangu anataka kukusalimia akaulize wa kike wa kiume na kwa nini usiku huu ?..nikamwambia wa kiume ..duh mbona alinichenjia kinoma niliulizwa maswali kama niko police
Ilibidi nianze kutoa maelezo marefu mengine sikumbuki ndo akaamka kumsalimia bahati nzuri mgeni alikuwa muongeaji sana akaongelea mambo ya business ,mipira na siasa kisha akaondoka zake
..sijajua kama leo nitatwangwa tena maswali juu ya ujio wa huyo rafiki
mpwa punguza kidogo maandishi unapunguza spidi yangu ya kufanta kazi!
 
Binamu jana usiku mida ya saa tatu nimetembelewa na mgeni wa kiume ni kweli alikuwa rafiki wa kawaida kabisa kuanzia kindagateni mpaka new life jeneresheni aaha kwanza nikashituka kidogo mzee alikuwa room kapumzika maana hatujaonana muda mrefu saaaaaaaaaaana
jamaa kakaa sioni dalili za kuondoka nikamwambia tena na shem wako karudi toka huko alipokuwa akasema ohh itakuwa vizuri nimfahamu
nikaenda kumwamsha nikamwambia kuna rafiki yangu anataka kukusalimia akaulize wa kike wa kiume na kwa nini usiku huu ?..nikamwambia wa kiume ..duh mbona alinichenjia kinoma niliulizwa maswali kama niko police
Ilibidi nianze kutoa maelezo marefu mengine sikumbuki ndo akaamka kumsalimia bahati nzuri mgeni alikuwa muongeaji sana akaongelea mambo ya business ,mipira na siasa kisha akaondoka zake
..sijajua kama leo nitatwangwa tena maswali juu ya ujio wa huyo rafiki

Hahaha! Ulimwalika au alikuja kivyakevyake? Unajitafutia balaa wewe. Ungewasiliana na Carmel kwanza akupige msasa. LOL!
 
he he he he!
mpwaaaaaaaaaaaaa!
jana zero hapakuwa na mtu kabisa,meneja amekuulizia sana

Hahaha! Nilimwomba udhuru, kuna PT nilikuwa naenda fanya home. Ningekuwa na serengeti kichwani wife angejua ni mapombe yanaongea.
 
Hahaha! Ulimwalika au alikuja kivyakevyake? Unajitafutia balaa wewe. Ungewasiliana na Carmel kwanza akupige msasa. LOL!
sijamwalika nilishituka tu hodi ..mala huyu ndo matatizo unaenda kwa watu bila apointment ....
 
Hahaha! Nilimwomba udhuru, kuna PT nilikuwa naenda fanya home. Ningekuwa na serengeti kichwani wife angejua ni mapombe yanaongea.
ha ha ha!haya bwana,kuna kaiventi kanatarajia kufanyika maeneo ya chawote tar 9/12/2009.
wewe ni mdau
 
sijamwalika nilishituka tu hodi ..mala huyu ndo matatizo unaenda kwa watu bila apointment ....
Hahaha! Huko nyuma alishawahi japo kukutongoza? Kama ndiyo basi ujue alikuwa anataka kutesti zali kwa mara nyingine.
 
ha ha ha!haya bwana,kuna kaiventi kanatarajia kufanyika maeneo ya chawote tar 9/12/2009.
wewe ni mdau

Mahudhurio yangu yatategemea sana availability ya serengeti za baridi, mdudu na kina eliza.
 
Mahudhurio yangu yatategemea sana availability ya serengeti za baridi, mdudu na kina eliza.
consider it done!
meanwhile,cheki na signature yangu!kiashiria cha ujio....!sio kama ule wa beckham ndani ya real madrid!...
 
Back
Top Bottom