Sasa itakuwaje ukiwakuta baa siku wanapata mvinyo ndio unatambulishwa huyu ni rafiki yangu. Na kiukweli ni rafiki yake. Utamuamini?
carmel,
unachokuhubiri unaweza ukawa unakipractice wewe tu!
wanawake ninavyowafahamu mimi HAWANAGA URAFIKI WA KAWAIDA NA WANAUME
And thats why i said I AS CARMEL, i can have a friend who i can respect and care as a friend. Like Geof, cant we be friends? who are we? I can gladly introduce you to my hubby, na kumwambia ukionaga nakuoga kuwa naenda kwenye vikao na wapwa, nakutanaga na huyu, huyu na yule! is there anything wrong with that?carmel,
unachokuhubiri unaweza ukawa unakipractice wewe tu!
wanawake ninavyowafahamu mimi HAWANAGA URAFIKI WA KAWAIDA NA WANAUME
amemtolea wapi huyo rafiki wa kike, wakati rafiki wake wa kike ni mie?...mie wife na rafiki yake mkubwa sana, acnitafute ubaya kabisa.
ha ha ha ha!wanaume inawezekana,lakini HAIWEZEKANI!......Hahaha! Mpwa hapa nimesita kukugongea senksi. Vipi the other side of the coin wanaume wana urafiki wa KAWAIDA NA WANAWAKE?
Geoff unadarubini nini??? kama vile ofisi flani hivi jina .........., we have to be carefull. sore ofu topikihamna mpwaaaaa!
THIS IS NATURE!
nenda maofisini humo,mashirika ya uma n.k....!wanawake na pete zao WANAMEGWA KAMA KAWAIDA siku za maharusi,function za ofisi n.k
Unless unamsalandia huyo rafiki yako kwa nini unaanza kuwa na wasiwasi wakati ni rafiki wa kawaida tu?: Only the truth shall set you free. Mtambulishe tena jitahidi awe karibu sana na mamaa kuliko hata ulivy naye wewe.
Mkeo alishaapa (Pengine bila kujijua) kuwa ...
......X-pin uendako nitakwenda, utakapoishi nami pia nitaishi, watu wako wewe watakuwa watu wangu na Mungu wako atakuwa ndiye Mungu wangu..........!
ha ha ha ha!Geoff unadarubini nini??? kama vile ofisi flani hivi jina .........., we have to be carefull. sore ofu topiki
Is it you Mwanajamii one? au hii miwani yangu inasomaje hapa?
Carmel,mambo huwa yanaenda yakibadilika.Just believe me.I have tried several times ( Hii ni UKWELI) na imeshindikana.
Just be careful.Hata bible inasema ajidhanie amesimama aangalie asianguke.
And thats why i said I AS CARMEL, i can have a friend who i can respect and care as a friend. Like Geof, cant we be friends? who are we? I can gladly introduce you to my hubby, na kumwambia ukionaga nakuoga kuwa naenda kwenye vikao na wapwa, nakutanaga na huyu, huyu na yule! is there anything wrong with that?
Unless unamsalandia huyo rafiki yako kwa nini unaanza kuwa na wasiwasi wakati ni rafiki wa kawaida tu?: Only the truth shall set you free. Mtambulishe tena jitahidi awe karibu sana na mamaa kuliko hata ulivy naye wewe.
Mkeo alishaapa (Pengine bila kujijua) kuwa ...
......X-pin uendako nitakwenda, utakapoishi nami pia nitaishi, watu wako wewe watakuwa watu wangu na Mungu wako atakuwa ndiye Mungu wangu..........!
Labda wanafanya naye kazi, kwenye biashara, kwenye starehe, kwenye unywaji au wamefahamiana online, kwenye sherehe....... something like that.
niendelee au nisiendeleee???????ndio wamelizane huko huko lakini sio mpaka home kwangu.
Kweli kabisa dada ndio mana nikaanza kwa kuuliza anampango gani na huyo rafiki yake maana kama ni mkweli na msafi wa moyo hana haja ya kupata kigugumizi ati!hiyo ilitokea kwa wanandoa tulioacmamia, mume alimleta anaedai rafiki yake ametokea cjui wapi huko so ameomba malazi kwa muda hapa nyumbani mana ni rafiki yangu tumekuwa nae kuanzia utotoni, mke anajishughulisha na kumwita mdada wifi kumbe ni mwenzake wa undani, tumeenda kuwasuluhisha hapo mdada aliapa kumlipizia kwani kunakalika hapo ndani kwao kuanzia hiyo rafu ilivyochezwa?...kila mtu kimpango wake.......
Unless unamsalandia huyo rafiki yako kwa nini unaanza kuwa na wasiwasi wakati ni rafiki wa kawaida tu?: Only the truth shall set you free. Mtambulishe tena jitahidi awe karibu sana na mamaa kuliko hata ulivy naye wewe.
Mkeo alishaapa (Pengine bila kujijua) kuwa ...
......X-pin uendako nitakwenda, utakapoishi nami pia nitaishi, watu wako wewe watakuwa watu wangu na Mungu wako atakuwa ndiye Mungu wangu..........!
hamna mpwaaaaa!
THIS IS NATURE!
nenda maofisini humo,mashirika ya uma n.k....!wanawake na pete zao WANAMEGWA KAMA KAWAIDA siku za maharusi,function za ofisi n.k
Kumegwa au kumegwa ni uamuzi wa mtu, kila mtu anajua nini anataka out of this life, ukitaka kumegwa/kumega kila mara na watu tofauti bila kujali kama uko kwenye ndoa au sivyo inawezekana, hebu tuangalie mada inasemaje maana swala la kumegana ni tofauti kabisa, coz mtu anaweza kuegwa hata na houseboy au kumega housegal, so the same applies to friendship, its a choice ukitaka kumega au kumegwa it can happen tena so smoothly. Lakini what am talking about here is you as ana individual, you as a person and the dignity you have, how can you control yourself an so on, its the respect you have for yourself, your husband and your marriage that will guide you to do whatever you do.
Wanaweza kuwa marafiki wa kawaida kweli ,lakini uwezekano wa kuzlisha mahusiano ya mapenzi ni mkubwa sana wajemeni.ni kama vile chanya na hasi zikikutana.Ni hatari sana.Kivipi mama? mbona umeshangaa si ni rafiki wa kawaida tu au kuna tafsida imetumika hapa na mie kuingia kingi?!