Kumegwa au kumegwa ni uamuzi wa mtu, kila mtu anajua nini anataka out of this life, ukitaka kumegwa/kumega kila mara na watu tofauti bila kujali kama uko kwenye ndoa au sivyo inawezekana, hebu tuangalie mada inasemaje maana swala la kumegana ni tofauti kabisa, coz mtu anaweza kuegwa hata na houseboy au kumega housegal, so the same applies to friendship, its a choice ukitaka kumega au kumegwa it can happen tena so smoothly. Lakini what am talking about here is you as ana individual, you as a person and the dignity you have, how can you control yourself an so on, its the respect you have for yourself, your husband and your marriage that will guide you to do whatever you do.