Kweli kabisa dada ndio mana nikaanza kwa kuuliza anampango gani na huyo rafiki yake maana kama ni mkweli na msafi wa moyo hana haja ya kupata kigugumizi ati!
Shemeji kula senki,unajua mam'aa....!
haya mambo yanaanza na urafiki!na kwenye hili women are so so so weak!SIO WOTE JAMANI!........
weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Shemeji kula senki,
Halafu hizi hurumahuruma hizi,huwa zinazaa mambo.na sasa ndio nimeanza kujua kwa nini wababa wengi wanalea watoto si wao bila kujua.
ha ha ha ha!
mimi mke wangu asipokuwa na hoja za msingi atakaa na degree yake nyumban mpaka afe
Well said mama! I wish wangekuelewa kina ZD. Nimekutwanga senksi kule na hapa nakutwanga tatu. SENKSI, THENKS, THANKS
hiyo ilitokea kwa wanandoa tulioacmamia, mume alimleta anaedai rafiki yake ametokea cjui wapi huko so ameomba malazi kwa muda hapa nyumbani mana ni rafiki yangu tumekuwa nae kuanzia utotoni, mke anajishughulisha na kumwita mdada wifi kumbe ni mwenzake wa undani, tumeenda kuwasuluhisha hapo mdada aliapa kumlipizia kwani kunakalika hapo ndani kwao kuanzia hiyo rafu ilivyochezwa?...kila mtu kimpango wake.......
carmel,Wivu huu, and it shows lack of trust!
Yaani baba yangu na mama yangu wahangaike kulala njaa ili kunisomesha halafu mwanaume anikataze kufanya kazi kisa ana wivu anataka nibaki ndani nampikia! kama vp na yeye asiende ofisini tukae ndani tunaangaliana.
Ha hahaaaaaaaa, pamoja na kwenda kwenye vikao, i am the best wife ever for him! na makofi hapa mwiko, na ndo maana hukuwa mume wangu kwa kuwa mume mwenye wivu wa kihivyo asingenifaa, i am a free being and am allowed to do whatever i please as long as i am in the right direction.haya mama!
wewe kama carmel SAWA!SAWA SAWA
I SWEAR TO GOD MIMI NIGEKUWA MUMEO UNGESHACHEZEA MAKOFI NA KUACHANA NA VIKAO SIKU NYINGI!😀
XPIN my love! msimamo wangu ni huu na I DARE TO TALK OPENLY,Usithubutu,narudia tena KWA HERUFI KUBWA ,USITHUBUTU kumleta rafiki na kumtambulisha kwangu eti your best friend.Akitaka awe best yake mimi sio wewe,
Well said wifi, hata mie msimamo wangu uko pale pale, wamalizane huko huko au akija nae waje wengi itasaidia.XPIN my love! msimamo wangu ni huu na I DARE TO TALK OPENLY,Usithubutu,narudia tena KWA HERUFI KUBWA ,USITHUBUTU kumleta rafiki na kumtambulisha kwangu eti your best friend.Akitaka awe best yake mimi sio wewe,
unajua mam'aa....!
haya mambo yanaanza na urafiki!na kwenye hili women are so so so weak!SIO WOTE JAMANI!........
Well said wifi, hata mie msimamo wangu uko pale pale, wamalizane huko huko au akija nae waje wengi itasaidia.XPIN my love! msimamo wangu ni huu na I DARE TO TALK OPENLY,Usithubutu,narudia tena KWA HERUFI KUBWA ,USITHUBUTU kumleta rafiki na kumtambulisha kwangu eti your best friend.Akitaka awe best yake mimi sio wewe,
carmel,
haya mambo yaache kama yalivyo!uzoefu nilioupitia unanikata kumuamini mwanamke kwa hiyo level........!
sasa si rafiki yangu tangu utotoni jamani? Au si nafanya naye kazi? Kuna ubaya gani hapo?
..ZD, Mi mwenyewe wife aniletee jamaa maskani eti ni rafiki? Duh!! nitampa wakati mgumu na yeye na huyo rafiki mpaka niwe conviced!! Fisi hafungiwi ndani ya bucha hata siku moja!Jamani kwa uzoefu wangu mdogo, hakuna urafiki wa kawaida wa watu wa jinsia 2 wa jinsi hii,hasa kwa wenye ndoa.Ni hatari na hakuna mwanamke au mwanaume yeyote anayeweza kuamini hili.Ni wachache saaaaaaaaaana kama sio sifuri.
You said it very well!..ZD, Mi mwenyewe wife aniletee jamaa maskani eti ni rafiki? Duh!! nitampa wakati mgumu na yeye na huyo rafiki mpaka niwe conviced!! Fisi hafungiwi ndani ya bucha hata siku moja!
Nadhani hujalijua hili na wengi kwenye ndoa hawajajua.HAKUNA BEST FRIEND ZAIDI YA MKEO/MUMEO.wengine wote ni photocopy tu,wizi mtupu.
Wanandoa wengi wanachokana kwa vile wanaona wenzao kama mke wangu,mume wangu,au baba naniliyuu.
Mngekuwa mnaona wenzi wenu kama BEST FRIEND kungekuwa hakuna talaka wala nyumba ndogo,MBAS whatever you can call.
LAKINI MAMA, mada inazungumzia RAFIKI WA KWELI! siyo nyumba ndogo itambulishwe kimtindo.
Well said ZD, but believe me, we are not living in a cage, we live in a society where we meet people, we share different experience in life and help each other when the need arise. so i will still say friends are very cruacial in life without considering gender. Sisemi kuwa friend awe namba one katika maisha yako, ofcourse not, mumeo/mkeo is always namba one,lakini kama ukijijengea ukuta na kuwatupa marafiki zako just because you are married, you might need them somedays.Nadhani hujalijua hili na wengi kwenye ndoa hawajajua.HAKUNA BEST FRIEND ZAIDI YA MKEO/MUMEO.wengine wote ni photocopy tu,wizi mtupu.
Wanandoa wengi wanachokana kwa vile wanaona wenzao kama mke wangu,mume wangu,au baba naniliyuu.
Mngekuwa mnaona wenzi wenu kama BEST FRIEND kungekuwa hakuna talaka wala nyumba ndogo,MBAS whatever you can call.