Mimi nafikiri kumtambulisha ni muhimu kwa sababu hata kama akicheat naye ni rahisi kumtambua kwani si watajisahau na kudhani hutawashtukia so we unanote tu ratiba za 'rafiki' kuwatembelea inakuwa kila mara na pengine watakupa hint. mradi tu uwe makini!
Umepewa bure, toa bure! Hahaha! Turudi kwenye mada, can you introduce me to your real nguli?
Kwani hii thread tittle yake ni ipi? hebu nikumbusheni jamani
khaaa MJ1....uwiiii? unajua wanao cheat ki kweli kweli? mpaka uje ugundue machweo.......hapo kwenye umakini ni bora nusu shari kuliko shari zima....waishilie huko huko na urafiki wao.
Pole Shemeji. "Rafiki kutambulishwa kwa wapwa"
Pole Shemeji. "Rafiki kutambulishwa kwa wapwa"
Yani tukio mojawapo imetokea nyumbani kwake huyo kaka,Hata intro haijaanza,wacha waanze kurushiana magumi,Nani huyu nakwambia!!!!! utanieleza leo!!!.Sijui walikuwa na ugomvi wa siku nyingi? Halafu nilikuwa mgeni maskini hapa mjini hata manzese sipajui,wangeniua sijui ingekuwaje,wacha nikimbie nje haraka, yani hatari sana.
kwani Chris mke wako akija na m baba usiyemjua akamtambulisha kwako kama rafiki yake ambaye wanapiga stori, wanashauriana mambo mengi, wanabadilishana mawazo na kusaidiana kwa mambo mbalimbali, utajisikiaje? mi naona feelings ktk haya masuala ni zile zile kwa mke/mume..kinachotofautiana ni reaction baada ya hapo..
She better do it! Manake nikimkuta naye sehemu afu ndo aniambie habari ya urafiki wa kawaida kuna matatu yatatokea:
1. Jamaa atawaishwa MOI kurekebishwa mifupa niliyoivunja(Am very good in breaking these guys' bones)
2. Wife atakuta vitu vyake na cheti cha ndoa vinamsubiri barazani
3. Chrispin atakuwa bachela wa kudumu, rafiki wa maisha wa mabaamedi.
THATS ALL!
She better do it! Manake nikimkuta naye sehemu afu ndo aniambie habari ya urafiki wa kawaida kuna matatu yatatokea:
1. Jamaa atawaishwa MOI kurekebishwa mifupa niliyoivunja(Am very good in breaking these guys' bones)
2. Wife atakuta vitu vyake na cheti cha ndoa vinamsubiri barazani
3. Chrispin atakuwa bachela wa kudumu, rafiki wa maisha wa mabaamedi.
THATS ALL!
khaaa MJ1....uwiiii? unajua wanao cheat ki kweli kweli? mpaka uje ugundue machweo.......hapo kwenye umakini ni bora nusu shari kuliko shari zima....waishilie huko huko na urafiki wao.
teh teh teh ,umesahau kuhusu jeshi la polisi baada ya jamaa kwenda moi,baadae utajiunga na top band utakuwa unaimba huzuni zako paleShe better do it! Manake nikimkuta naye sehemu afu ndo aniambie habari ya urafiki wa kawaida kuna matatu yatatokea:
1. Jamaa atawaishwa MOI kurekebishwa mifupa niliyoivunja(Am very good in breaking these guys' bones)
2. Wife atakuta vitu vyake na cheti cha ndoa vinamsubiri barazani
3. Chrispin atakuwa bachela wa kudumu, rafiki wa maisha wa mabaamedi.
THATS ALL!
She better do it! Manake nikimkuta naye sehemu afu ndo aniambie habari ya urafiki wa kawaida kuna matatu yatatokea:
1. Jamaa atawaishwa MOI kurekebishwa mifupa niliyoivunja(Am very good in breaking these guys' bones)
2. Wife atakuta vitu vyake na cheti cha ndoa vinamsubiri barazani
3. Chrispin atakuwa bachela wa kudumu, rafiki wa maisha wa mabaamedi.
THATS ALL!
teh teh teh ,umesahau kuhusu jeshi la polisi baada ya jamaa kwenda moi,baadae utajiunga na top band utakuwa unaimba huzuni zako paleShe better do it! Manake nikimkuta naye sehemu afu ndo aniambie habari ya urafiki wa kawaida kuna matatu yatatokea:
1. Jamaa atawaishwa MOI kurekebishwa mifupa niliyoivunja(Am very good in breaking these guys' bones)
2. Wife atakuta vitu vyake na cheti cha ndoa vinamsubiri barazani
3. Chrispin atakuwa bachela wa kudumu, rafiki wa maisha wa mabaamedi.
THATS ALL!
I guess there is nothing wrong, hahaaaa binamu kaizer...
No 2: Dawa ya moto ni moto
No 3: Ntakuwa nimejikwepesha na mastress ya kijinga for the rest of my life.
hehehe, where did you pick that word?
ha ha kwa hiyo akija mwenyewe na kumtambulisha jamaa "mume wangu Chris, huyu hapa anaitwa Musa, ni rafiki yangu wa karibu kwa mda mrufu tuu, tunapiga story, tunashauriana mambo mengi na kusaidiana katika mambo mbalimbali" ...wewe utamkaribisha ndani jamaa, na kumtabasamulia tuu huku ukimwambia mama watoto amsevie na ka wain...ha haa