Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

Mimi nafikiri kumtambulisha ni muhimu kwa sababu hata kama akicheat naye ni rahisi kumtambua kwani si watajisahau na kudhani hutawashtukia so we unanote tu ratiba za 'rafiki' kuwatembelea inakuwa kila mara na pengine watakupa hint. mradi tu uwe makini!
wanasema mchawi mpe mwanao amlee! so i would prefer to know all female friends that my hubby has.
 
nilikugongea senks kisha nikairemove baada ya kusoma tena mara ya pili..

how are you lakini?

Ah wivu tu bana wewe rudisa sanks ile plz. Mie niko bomba ni hii global financial crunch inayoaffect my social status but an surviving
 
mambo yanavyotakiwa yawe,ni muhimu kumtambulisha rafiki kwa mwenzi wako,duh! lakini kwa mambo jinsi yalivyo unapaswa kujiuliza mara mbili kabla ya kufanya hivyo

Unajua kwanini unaogopa? May be hujiamini au hauaminiki. I have a lot of girl friends, Kama sex ingehusika kwa wote hao, na kama ile kitu ingekuwa inaisha kama sabuni, sasa hivi ningekuwa sina storongo! HAHAHA! LOL!
 
Naona watu humu ndani mnataka kujifunza kwa vitendo.Haya subirini yawakute kwanza.Wanaume jamani huwa wanabadilika sana kuliko wanawake.Labda nyie mseme huu urafiki wa juujuu wa kukutana kazini na sio ile best friends,vinginevyo ni wachache sana wanaweza kumudu hii kitu.Mwenzenu nimewahi kujikuta kwenye ugomvi mkali kama mara 3 hivi kwa ajili ya haya mambo.
 
wanasema mchawi mpe mwanao amlee! so i would prefer to know all female friends that my hubby has.

Hahaha! Mpwa ukifanya masihara utatoka nje ya mstari ujue! LOL!
 
wanasema mchawi mpe mwanao amlee! so i would prefer to know all female friends that my hubby has.

Tuko kwenye same boat carmel. Ni rahisi kumkamata mwizi umjuaye kuliko usiyemjua jamani kuna kujisahau kwa binadamu hawakawii kufinyiana majicho mkiwa wote mezani nawe ah ukabahatika kuona au watu wakaona wakakustua kama ilivyokuwa kwa Gina na Shilla
 
Naona watu humu ndani mnataka kujifunza kwa vitendo.Haya subirini yawakute kwanza.Wanaume jamani huwa wanabadilika sana kuliko wanawake.Labda nyie mseme huu urafiki wa juujuu wa kukutana kazini na sio ile best friends,vinginevyo ni wachache sana wanaweza kumudu hii kitu.Mwenzenu nimewahi kujikuta kwenye ugomvi mkali kama mara 3 hivi kwa ajili ya haya mambo.

ZD tangu ukiwa mtoto hujawahi kuwa na marafiki wa kiume? Wote ulimegana nao? Can you now believe kuwa kuna marafiki wa jinsia tofauti walioshibana sana kiasi hata kutongozana wanaoneana aibu? Can you?
 
Naona watu humu ndani mnataka kujifunza kwa vitendo.Haya subirini yawakute kwanza.Wanaume jamani huwa wanabadilika sana kuliko wanawake.Labda nyie mseme huu urafiki wa juujuu wa kukutana kazini na sio ile best friends,vinginevyo ni wachache sana wanaweza kumudu hii kitu.Mwenzenu nimewahi kujikuta kwenye ugomvi mkali kama mara 3 hivi kwa ajili ya haya mambo.

Ehee! Ikawaje?
 
ZD tangu ukiwa mtoto hujawahi kuwa na marafiki wa kiume? Wote ulimegana nao? Can you now believe kuwa kuna marafiki wa jinsia tofauti walioshibana sana kiasi hata kutongozana wanaoneana aibu? Can you?
ushasema utotoni,Here we are talking about ndoa.kwa hiyo hai-apply
 
Hahaha! Mpwa ukifanya masihara utatoka nje ya mstari ujue! LOL!
Akicross line i will be mad bt atleast i will get a chance to know my man's taste apart from me and compare myself so that i can see areas of improvement on my part ha haaa🙄
 
We wake/waume za watu bwana sumu,utakuja tolewa ngeu bure.Hata mimi nilikuwa napenda sana kujenga urafiki na waume za watu.lakini siku hizi nawaogopa kwa kweli.

Hahaha! Pole! Walienda kukutambulisha kwa wake zao ukakosakosa kipondo au ilikuwaje? Pole sana! Sasa nimeelewa kwanini umekuwa mkali hivi!
 
ushasema utotoni,Here we are talking about ndoa.kwa hiyo hai-apply

Nimesema tangu utotoni mpaka sasa. Kote ulikopitia mpaka ulipofikia. Hujawahi kuwa na marafiki wa kiume? Wote walikutongoza?
 
Unajua kwanini unaogopa? May be hujiamini au hauaminiki. I have a lot of girl friends, Kama sex ingehusika kwa wote hao, na kama ile kitu ingekuwa inaisha kama sabuni, sasa hivi ningekuwa sina storongo! HAHAHA! LOL!
najiamini na naaminika,wakati mwingine mapenzi yanashinda imani ya kuamini tunasikia mengi duniani kutufanya tujawe na wasiwasi,kwa waliotokewa na mikasa husimulia imani waliyonayo mwanzo,baada ya hapo hufata majuto,ndiomana nikasema inavyotakiwa iwe ni vyema kufahamishana lakini kutokana na dunia ilivyo tunapaswa kuwa makini
 
najiamini na naaminika,wakati mwingine mapenzi yanashinda imani ya kuamini tunasikia mengi duniani kutufanya tujawe na wasiwasi,kwa waliotokewa na mikasa husimulia imani waliyonayo mwanzo,baada ya hapo hufata majuto,ndiomana nikasema inavyotakiwa iwe ni vyema kufahamishana lakini kutokana na dunia ilivyo tunapaswa kuwa makini

So whats the problem? Mtambulishe rafiki yako wa kike kwa mkeo. Si unajiamini na kuaminika bana?
 
Hahaha! Pole! Walienda kukutambulisha kwa wake zao ukakosakosa kipondo au ilikuwaje? Pole sana! Sasa nimeelewa kwanini umekuwa mkali hivi!
Mmojawapo anashirikiana na shemejiye wananipigia simu/sms wanatukana we eti homebreaker! wakati mie ilikuwa ni urafiki tu,tena angenishukuru kwa vile nilikuwa namtwanga injili mumewe aokoke.
 
And I can proudly introduce myself being among them! bht is my friend, but there is no sex agenda in our friendship. Carmel too.

THANKS Iribini once again, nadhani compressor umejibika, Iribini hadi mlegend wangu mbona anamfahamu??? hahaaaaa

Compressor tukiwa marafiki ntakuintroduce usijali...
 
Back
Top Bottom