Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Ni TCRA na sio EWURA.Airtel mara nyingi huwa na vifurushi vya bei nafuu sana kulinganisha na mitandao mingine ya simu Tanzania....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni TCRA na sio EWURA.Airtel mara nyingi huwa na vifurushi vya bei nafuu sana kulinganisha na mitandao mingine ya simu Tanzania....
yap kuna kipindi si TTCL walitaka kuipora airtel wakidai kua ni yaoAirtel si binamu wa TTCL
TCRA hiyo kazi iliwashinda zamani sana ndiyo maana sikuwataja, wao kazi wanayoiweza ni kufungia vituo vya redio, TV na blogs tu.Ni tcra na sio ewura.
hahahahah wapumbavu sana hao, we need customer protection consortium.TCRA hiyo kazi iliwashinda zamani sana ndiyo maana sikuwataja, wao kazi wanayoiweza ni kufungia vituo vya redio, TV na blogs tu.
Navizia mtu akanunua cm mpya niweke line yangu kwanzaNadhani moja wapo kati ya haya litawezekana.
1. Je, uliona ile option ya ku-activate ofa?
2. Ikishindikana hapo jaribu kuweka laini mpya, book kwa ajili ya laini mpya sio issue. Nahisi ukiweka laini mpya inaweza kusoma kama "new user"
Kwenye Terms and Condition, # 2 wanasema "Existing Airtel customer upgrading to a new smart phone or any other smart phone user joining Airtel network and using their smart phone for the first time on the Airtel network are eligible for this offer."Navizia mtu akanunua cm mpya niweke line yangu kwanza
Kama matumizi yako ni ya kawaida tu; 1.5GB inatosha sana ingawaje kama unatumia Instagram halafu ukawa unajisahau kwenye zile video stories, lazima ikukatikie njiani1500 napata GB1.5 dakika 150 na sms 100 kwa siku Saba..kifurushi cha sahizi yako kutoka Tigo Tanzania
Taarifa tamu kwangu ni kwamba, endapo hii ofa itaendelea kwa upande wangu, hiyo 20K nitakuwa nabeba 44GB, na nikiongeza Sh 5K na kuwa 25,000 nitakuwa nakomba 60GB! Mbona nitanenepa mwaka huu!Mfano huwa natumia kifurushi cha mwezi 20,000 wao 22GB wakati kwa gharama hizo hizo napata 8GB Vodacom 🙌😭
Ni kweli, huwezi kuwa na mitandao zaidi ya mitano kwenye Nchi moja halafu gharama za vifurushi zikapishana namna hiyohahahahah wapumbavu sana hao, we need customer protection consortium.
Hahahahah hivi bado kuna wana muna danrodi mazaga 😂! Uko chuo nini mdg wanguTaarifa tamu kwangu ni kwamba, endapo hii ofa itaendelea kwa upande wangu, hiyo 20K nitakuwa nabeba 44GB, na nikiongeza Sh 5K na kuwa 25,000 nitakuwa nakomba 60GB! Mbona nitanenepa mwaka huu!
Hadi external na PC zangu nazihurumia zitakavyobeba makontena ya shaba mwaka huu!!!
Chuo 60GB utafanyia nini?! Ukiona mtu anazungumzia ma-bundle makubwa namna hiyo basi atakuwa ni mtu wa ma-movie/series na ma-softwares! Na yote hayo, Software/tutorials/movies/series ndivyo vinajaza pc zangu!Hahahahah hivi bado kuna wana muna danrodi mazaga 😂! Uko chuo nini mdg wangu
🤣🤣🤪Watu wanadanrodi na kustrim kwa yutubu tuHahahahah hivi bado kuna wana muna danrodi mazaga 😂! Uko chuo nini mdg wangu
Mie nimejikita yutyubu tu, hio speed inaweza stream bila kukata kata?🤣🤣🤪Watu wanadanrodi na kustrim kwa yutubu tu
Airtel wako poa kene bei ila speed ni changamoto nyingineMie nimejikita yutyubu tu, hio speed inaweza stream bila kukata kata?
Unaangalia mpira kutumia nini? Mimi huwa naangalia kupitia Dstv mb 500 zinatosha kabisa ila siangalii kwa resolution kubwa pia kwenye uchambuzi siangalii.......Ila nikiwa na GB 1 siwezi kuangalia mpira dk 90,Voda natumia 300MB-450MB......kwangu airtel MB huwa zinaisha faster mechi haishi hata dk 30,GB inaisha