Rafiki wa karibu wa Jackie Cliff asimuliwa jinsi mrembo huyo alivyokamatwa na madawa ya kulevya China


Kweli ela ni hatariiiiii, yaani pamoja na kujifanya ni karembo kiasi hiki, kumbe walikisokomeza hizo kete M.K.U.N.D.U.N.I, maana nasikia ubebeja wake uhifadhia kwenye utumbo Mpana kupia huku chini.(Huyu anayesema tuna mjaji hatujui nini kilitokea Je M.k.u.n.d.u.ni mtu unaweza kubambikiziwa???aache upuuzi uyu mrembo alijipanua mwenyewe ziingie.
 
Haka katoto kanatakiwa kakamatwe!!!na kenyewe kanauza sembe,wachina wa macao kazi kwenu maana wanajitaja mwenyewe!Jinga sana na huyu jux wao

Nimeshangaa maringo yote anatoka na ka-mtu kama hako ka Jux.
Wanawake wengine hawajitambui hata.
 
Huyu nae hakuna alichoongea ebu apishe hivi..anajua maana ya hardworker?et she z a hard workn woman. hardworkn my left leg mfyuu!kanchefua!
Au nae mulemule?

Aje mashambani huku tumuonyeshe hardworkers wanafananaje!!!
 
Jamani, mtoa taarifa ni RAFIKI WA KARIBU wa Jackie.....sasa sielewi kwa nini mnapingana na maoni yake. Ni sawa na kumnanga lucifer alipompokea Hitler, akamkumbatia na kumuita hardwoker...... Kama mtoa taarifa aliridhia utendaji wa rafiki yake wa karibu kwa jinsi walivyokuwa wanajituma kama Punda......then yes......she is a hard worker. Punda wote ni hardworkers...ndio nijuavyo mimi........ Alafu sijui huko mnapoishi nyie wenzangu....lakini huku kwetu idadi ya mateja wapiga debe...waokota makopo na vyupa wanaongezeka kila kukicha...hapo sijawataja wasanii wa bongofleva.....kina marehemu Ngwair, Langa.........Ray c kaponea tundu la sindano...Banza Stone ndio huyo tia maji tia maji....Chidi akisharanduka stimu zinahamia kwenye ngumi......kweli bado mnataka kupingana na RAFIKI anaposema Jack is a hardworking girl ?
 

hahahahahaa... Una falsafa nzuri sana... Yaani we ongelea hao unaowasikia rafiki... Mimi nakutana nao kila siku wakikueleza ni jinsi gani walianza na nini kinafuata baada ya hapo... Yaani ni mateso makali... Wanapata adha sana wale watumiaji... Maana ukishaanza si kama titti la mama utasub na kopo au ngombe... Pale ndio umejiwekea pingu ukileta ubishi inakaza zaidi... Watoto wa miaka kumi na tano... Mie marehemu kaka ndio alikuwa ananituma... Nikileta nami naonja kidogo... Sasa... Shule hataki.. Na craving yake ni kama ukibanwa na mkojo huwezi kuvunga huusikii... Mwisho wa siku akikosa hela anaiba... Anakukaba..... Ukiacha watotot home anabaka... Akienda kudunga anapata maradhi... So utalia tu pale umemlea mtoto wako kwa gharama akiwa na miaka 10.. Anabakwa anaambukizwa gonjwa...yaani apo we ndio utajua kwa nini watu wanahasira namna hii..... Maanathe boss lady beach babe alikuwa anazisaka kwa juhudi zikarudi tena kwenu.... Kiukweli Mungu ye ndio ajuae hatma ya haya.. Ila tunaamini atatenda miujiza kama ile ya misri na israel kizazi chetu kiweze kukombolewa... amen!
 
Halafu anaebaba sembe tumboni hana tofauti sana na anaepigwa tigo maana zile kete wakati zikitoka maumivu yake ni zaidi ya kusokomezwa dushelele.
 
Hakuna miujiza ndugu yangu...ni hadi pale tutakapokuwa tayari kujitoa muhanga kukaabiliana na hili janga hatari. Kuna wakati gazeti moja lilimtaja Diamond kati ya wanaohisiwa kujihusisha na hizi ishu....nikahoji....hivi ni kweli hakuna watu wengi tu hapa nchini wanaomiliki mali za mamilioni zisizo na maelezo manyoofu nyuma yake....ambao tukiunganisha nguvu tunaweza kushinikiza mamlaka kuwahoji. Lakini ndio hivyo tena.......nani anathubutu ?
 
Anyongwe tu kwani angewaharibu familia nyingi kwa kukosa malezi bora, uzuri sio kitu hii inaonyesha roho mbaya nyinyi wauza unga msivyo na huruma kwa wenzio
 
swali la kizushi.chief rocka,juma jux na baadhi ya vijana waliohamishia makazi far east (china),wanajishughulisha na nini huko?.ukiunganisha dot unagundua hawa ndo ma agent wa kupokea vijana wenzao wabeba drugs toka tz nchini china hasa ktk mji wa quanzhou ambao umejaa vijana wengi wa kibongo.huwa nafatilia updates zao (chief,jux nk)instagram, mavazi wanavyovaa,magari wanayo push na maneo wanayo hang ni balaa.kwa kweli these boys are lavishing it real.
 
ivi adhabu yake ni miaka mitatu jaman???? kwann mbona midogo ivyoo ukiringanisha na kosa au??
 
Wabongo cjui tumelogwa nanani! Na haitakuja tupate maendeleo ya kwel!! Angalia muuza Sumu km unamuita hard workng!!! Hv Rey c akikuckia unamsifia mtu km hyu atakulewa vp cz kashehe ya Poda anaijua ilivyo leo unaumita hard wrkng! Yaan bac ht majambaz tuyaite hvyo hvyo,kwenye siasa na majitu yanaiba badala ya kufungwa yanaachiwa yakirudi mahimbon kwao yanapokelewa km wafalme!! Haahahh!!
 

chief rocka (edward nyerere) ni mshkaj wangu longtime n i can vouch for him. kaka usipende kuongea vitu usivovijua bila kua na ushahidi. ungeuliza kuliko kumuaccuse mtu in public namna hii.
 
Nyonga hiyo malaya haraka sana, mnangoja nini sasa?
 
Nyonga hiyo malaya haraka sana, mnangoja nini sasa?
 
Wacha akafie huko...yeye kuharibu akili za kaka na dada zetu anaona poa..hivi kwa nini hakukamatiwa china mainland?
 
sasa kumbe hakujifunza kwa aliyekuwa mumewe?.....na mbona kuna mafundisho mengi a bado wanaendelea? tena bila uoga?.....hii kitu ni lazima ni nzuri na ina faida!!!kwa nini nateseka na maisha maaaguu wkt hata waliokamatwa huko A.kusini wapo Bongo wakipeta?.....I must Try This!!! You never Know!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…