Rafiki wa Kweli ni yupi?

Rafiki wa Kweli ni yupi?

Hii iko wazi kabisa kuwa Marafiki wengi husalitiana Mume kwa Mke.
Malalamiko ya marafiki kugeukana yamekuwa mengi kipindi hiki.
Hata mahakamani kesi nyingi ni za watu ambao waliwahi kuwa marafiki wakubwa wakashirikiana katika baadhi ya mambo mwisho wa siku wakagombana na kupelekana mahakamani.
Lakini pia unapopata tatizo mtu wa kwanza kutafutwa ni rafiki yako wa karibu kuulizwa uko wapi na unafanya nini ama kwa nini umebadilika.

Je una rafiki unayemuamini na kumpa siri zako zote?
Tujuze rafiki wa kweli ana sifa zipi?
Wazazi wako tu waliokuleta duniani ndio Marafiki wa kweli kwa mtu yoyote yule.
 
Ukininunulia POMBE wewe ni rafiki yangu....



Hakuna marafiki kama walevi, hakuna🍺🍺🍺
 
Hii iko wazi kabisa kuwa Marafiki wengi husalitiana Mume kwa Mke.
Malalamiko ya marafiki kugeukana yamekuwa mengi kipindi hiki.
Hata mahakamani kesi nyingi ni za watu ambao waliwahi kuwa marafiki wakubwa wakashirikiana katika baadhi ya mambo mwisho wa siku wakagombana na kupelekana mahakamani.
Lakini pia unapopata tatizo mtu wa kwanza kutafutwa ni rafiki yako wa karibu kuulizwa uko wapi na unafanya nini ama kwa nini umebadilika.

Je una rafiki unayemuamini na kumpa siri zako zote?
Tujuze rafiki wa kweli ana sifa zipi?
Rafiki wa kweli ni yule mnaosapotiana kwa baadhi vitu na yupo radhi kukufichia aibu na madhaifu yako.
Ila ni ngumu kupata marafiki wa kweli wengi tuna washikaji tu
 
Daah aisee marafiki hawa..
Mara nyingi mi huwa sina rafiki wa kusema huyu ndio dam damu an mana mara nyingi huwa na urafiki ule wa benefit baada ya hapo kula mtu anakula upande wake
 
Rafiki wa kweli ni kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein aliyeamua kufa kwa kuutetea na kuulinda uislam.

Kupitia yeye Allah katupa Tawfiq tunauhakika wa jannah.

Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu Imam Hussein rafiki wa kweli.

adriz
Acha Imani potofu kijana , unadhani uislamu ni sawa na Ukafiri upate uhakika wa pepo kupitia kumtegemea kumbe ?
 
Acha Imani potofu kijana , unadhani uislamu ni sawa na Ukafiri upate uhakika wa pepo kupitia kumtegemea kumbe ?
Hii Tawfiq kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alifanikisha tumeipata hata ufanyaje hakuna atakeyenipokonya.

Na kuhakikishia adriz jannah nitaiona, Imam Hussein nitamuona na qauli thabeet nitapewa.
 
Hii Tawfiq kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alifanikisha tumeipata hata ufanyaje hakuna atakeyenipokonya.

Na kuhakikishia adriz jannah nitaiona, Imam Hussein nitamuona na qauli thabeet nitapewa.
Bange mbaya sana , kijana kama unataka Jannah tegemea kwa Allaah pekee na silimu kwa kufuata mafundisho sahihi ya uislamu kwa ufahamu sahihi.

Acha kuishi kwa kurandaranda , huku sio kama kwenu Yesu amepewa Mamlaka ya kiiungu na unataka kuwaiga Mashia kuhamishia hiyo itikadi kwa Hussein (Radhi za Allaah ziwe juu yake)
 
Back
Top Bottom