John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Wazazi wako tu waliokuleta duniani ndio Marafiki wa kweli kwa mtu yoyote yule.Hii iko wazi kabisa kuwa Marafiki wengi husalitiana Mume kwa Mke.
Malalamiko ya marafiki kugeukana yamekuwa mengi kipindi hiki.
Hata mahakamani kesi nyingi ni za watu ambao waliwahi kuwa marafiki wakubwa wakashirikiana katika baadhi ya mambo mwisho wa siku wakagombana na kupelekana mahakamani.
Lakini pia unapopata tatizo mtu wa kwanza kutafutwa ni rafiki yako wa karibu kuulizwa uko wapi na unafanya nini ama kwa nini umebadilika.
Je una rafiki unayemuamini na kumpa siri zako zote?
Tujuze rafiki wa kweli ana sifa zipi?
Rafiki wa kweli ni yule mnaosapotiana kwa baadhi vitu na yupo radhi kukufichia aibu na madhaifu yako.Hii iko wazi kabisa kuwa Marafiki wengi husalitiana Mume kwa Mke.
Malalamiko ya marafiki kugeukana yamekuwa mengi kipindi hiki.
Hata mahakamani kesi nyingi ni za watu ambao waliwahi kuwa marafiki wakubwa wakashirikiana katika baadhi ya mambo mwisho wa siku wakagombana na kupelekana mahakamani.
Lakini pia unapopata tatizo mtu wa kwanza kutafutwa ni rafiki yako wa karibu kuulizwa uko wapi na unafanya nini ama kwa nini umebadilika.
Je una rafiki unayemuamini na kumpa siri zako zote?
Tujuze rafiki wa kweli ana sifa zipi?
Rafiki wa kweli ni ww mwenyewe...
Acha Imani potofu kijana , unadhani uislamu ni sawa na Ukafiri upate uhakika wa pepo kupitia kumtegemea kumbe ?Rafiki wa kweli ni kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein aliyeamua kufa kwa kuutetea na kuulinda uislam.
Kupitia yeye Allah katupa Tawfiq tunauhakika wa jannah.
Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu Imam Hussein rafiki wa kweli.
adriz
Hii Tawfiq kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alifanikisha tumeipata hata ufanyaje hakuna atakeyenipokonya.Acha Imani potofu kijana , unadhani uislamu ni sawa na Ukafiri upate uhakika wa pepo kupitia kumtegemea kumbe ?
Bange mbaya sana , kijana kama unataka Jannah tegemea kwa Allaah pekee na silimu kwa kufuata mafundisho sahihi ya uislamu kwa ufahamu sahihi.Hii Tawfiq kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alifanikisha tumeipata hata ufanyaje hakuna atakeyenipokonya.
Na kuhakikishia adriz jannah nitaiona, Imam Hussein nitamuona na qauli thabeet nitapewa.