Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Wanaume wa Dar mkuu. Ulitegemea nini?Kweli viroba vinapunguza nguvu za asili yaani mtu 5 wamemkimbia mtu mmoja!!! Hadi wamemwitia mwizi!!!daa r.i.p kalale pahali pema bondia!![emoji86] [emoji86]