Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

Navyojua mwanamke anaweza kuridhika kupitia njia nyingi na sio penetration ya dushe pekee. Kama wote wanapendana kwa dhati sioni kama hiyo hali inaweza kuleta mtafaruku sana kwenye mahusiano yao

Mdada awe supportive, amfanye jamaa awe comfortable kwa kumtia moyo na kutomnyanyapaa.
 
Navyojua mwanamke anaweza kuridhika kupitia njia nyingi na sio penetration ya dushe pekee. Kama wote wanapendana kwa dhati sioni kama hiyo hali inaweza kuleta mtafaruku sana kwenye mahusiano yao

Mdada awe supportive, amfanye jamaa awe comfortable kwa kumtia moyo na kutomnyanyapaa.
Heterosexual is the only normal sexual activity encountered amongst a man and a woman.Exercising other sexual activity is regarded as abnormal sexual devision.So penetration of penis into the vagina gives a full satisfactory to both couples.
 
Heterosexual is the only normal sexual activity encountered amongst a man and a woman.Exercising other sexual activity is regarded as abnormal sexual devision.So penetration of penis into the vagina gives a full satisfactory to both couples.
Your mind is polluted
 
Navyojua mwanamke anaweza kuridhika kupitia njia nyingi na sio penetration ya dushe pekee. Kama wote wanapendana kwa dhati sioni kama hiyo hali inaweza kuleta mtafaruku sana kwenye mahusiano yao

Mdada awe supportive, amfanye jamaa awe comfortable kwa kumtia moyo na kutomnyanyapaa.
You are likely sound my lady Reina.
 
Sababu za kushindwa tendo la ndoa zimegawanyika katika makundi mawili,kundi la kwanza ni sababu za kisaikolojia(psychological factor) kama hofu,mashaka,wasiwasi,woga na uchovu.Baadae hivi navyo huzaa mkandamizo wa mawazo(stress).Kundi la pili ni sababu za ki magonjwa(pathological)kama chronic diseases e.g. sexually transmitted diseases,chronic anaemia etc,hormonal imbalance,kisukari,matumizi ya dawa za preasure,alcohol intoxication na matumizi ya dawa za kulevya kama bange,cocaine nk.Sababu zingine ni mvuto kwenye uke wa mwanamke unapungua.Wanawake wengi wakizaa huchanika uke na wasiposhonwa uke hupanuka na kuwa mkubwa kama wa ng'ombe hivyo mwanaume akimwingilia uume umepwaya sana na haubani na kwa jinsi hiyo ladha ya kufanya tendo la ndoa hutoweka na uume husinyaa.Sababu nyingine ni kuwa na michepuko kibao,nguvu zinaishia nje kwenye michepuko na unapokwenda kwa mke ambae nae anahitaji unashindwa kumtimizia.Ufumbuzi wa tatizo la kushindwa kufanya tendo la ndoa ni hospitalini tu,kama ulienda kwa daktari akashindwa kukusaidia unapaswa kwenda kwa mwingine mwenye uwezo.Madaktari wako wa ngazi nyingi na uwezo unaopishana sana.
Sasa kama nakuelewa mkuu, itabidi nimuimize kwa madaktari tu ndiyo njia sahihi
 
Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.


Pole sana bwana zinc kwa tatizo ulilonalo japo unasingizia rafikiyo. Piga punyeto kwa wingi uume utarudi tu kama zamani.
 
Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Mwambie arudishe kadi CHAPUTA kabla hajawa hanithi kabisa..
 
Hilo tatizo lilinipata wakati naanza mahusiano aiseee utaaibika sana kama mwanamke ni mara ya kwanza kukutana nae.

Ila nilitulia na nilipiga kazi vizuri hadi sasa.

Aibu sana hiii usiombe ikukute
 
Hilo tatizo lilinipata wakati naanza mahusiano aiseee utaaibika sana kama mwanamke ni mara ya kwanza kukutana nae.

Ila nilitulia na nilipiga kazi vizuri hadi sasa.

Aibu sana hiii usiombe ikukute
Mkuu! Inaonekana ilikutokea kwa sababu hujamzoea demu au vp! Embu fafanua
 
Nitamwambia mkuu, ila aliwahi kwenda hospitali, daktari akamcheka, akamwambia aondoe mawazo, aelekeze akili yake pale. Ikaishia hivyo.
Sasa kwanini Daktari alimcheka badala ya kumtibu pole kwa Matatizo jomba.
 
Sababu za kushindwa tendo la ndoa zimegawanyika katika makundi mawili,kundi la kwanza ni sababu za kisaikolojia(psychological factor) kama hofu,mashaka,wasiwasi,woga na uchovu.Baadae hivi navyo huzaa mkandamizo wa mawazo(stress).Kundi la pili ni sababu za ki magonjwa(pathological)kama chronic diseases e.g. sexually transmitted diseases,chronic anaemia etc,hormonal imbalance,kisukari,matumizi ya dawa za preasure,alcohol intoxication na matumizi ya dawa za kulevya kama bange,cocaine nk.Sababu zingine ni mvuto kwenye uke wa mwanamke unapungua.Wanawake wengi wakizaa huchanika uke na wasiposhonwa uke hupanuka na kuwa mkubwa kama wa ng'ombe hivyo mwanaume akimwingilia uume umepwaya sana na haubani na kwa jinsi hiyo ladha ya kufanya tendo la ndoa hutoweka na uume husinyaa.Sababu nyingine ni kuwa na michepuko kibao,nguvu zinaishia nje kwenye michepuko na unapokwenda kwa mke ambae nae anahitaji unashindwa kumtimizia.Ufumbuzi wa tatizo la kushindwa kufanya tendo la ndoa ni hospitalini tu,kama ulienda kwa daktari akashindwa kukusaidia unapaswa kwenda kwa mwingine mwenye uwezo.Madaktari wako wa ngazi nyingi na uwezo unaopishana sana.
Shida daktari alimcheka tayari kisaikolojia ameshaathirika kwa hofu ya kuchekwa labda aende kwa daktari wa jinsia ya Kike.
 
Mkuu! Inaonekana ilikutokea kwa sababu hujamzoea demu au vp! Embu fafanua
Mimi nilichukua sana muda kuingia kwenye mahusiano ila nilipokuja kujaribu nilizungushwa sana na mwanamke mmoja hivi ila baada ya kukubali siku hyo nikiwa kwake alinipa mzigo na mashine ilikuwa sawa kabisa (imesimama kwa kiwango chake).

Baada ya kuanza kuvuana hadi akabaki uchi nashangaa uume ukalala na nikashindwa kusimamisha tena,nikaondoka na nikaomba tena kwa mwingne hali ikawa vile vile nikashindwa (wakati huo nilikuwa simjui mwanamke).

Nikamfata yule wa kwanza baadae ila ikagoma tena nilifanya mengi sana aisee hadi nikajikuta naoga njiani kisa imani za kishirikina ila nilikuja kudharau yote nikakaa nikatulia nikatafuta mwanamke nikamwelezea tatizo langu na akanielewa alinipa ushirikiano hadi nikafanikiwa.

Nashukuru sasa nina mtoto mmoja na ninapiga kazi hata masaa 24.

Sema nimeliongea juu juu kama nitapata muda nitakuja andika vzr.
 
Moja kwa moja mtu mwenye tatizo hilo huwa anamambo yafuatayo;

1. Hali chakula akashiba vizuri au anakaa muda mrefu Tumbo likiwa tupu.
Kukaa na njaa kwa mwanaume ni kuua nguvu za kiume.
Hivyo wanaume wenzangu tusiache matumbo yetu yakae muda mrefu bila chakula.

Mtu ambaye hali vizuri huweza kukaa siku mbili mpaka nne asione Mboo yake ikisimama. Jambo ambalo si dalili nzuri kwa mwanaume rijali. Mwanaume rijali hupaswa kusimamisha kila siku asubuhi, au kila anapokula chakula vizuri akashiba basi mboo hunyanyuka kwa muda kidogo kisha husinyaa.

2. Hafanya mazoezi.
Huyo ndugu yako au hata wanaume wasiofanya mazoezi na wasio Fanya kazi za nguvu zenye kutoa jasho huwa na matatizo hayo sugu. Mzunguko wa damu mwili huwa mdogo Sana. Watu hawa ndio huathiriwa na magonjwa ya kisukari kwani miili yao imekaa legelege.
Wanaume wanaofanya mazoezi na kula vizuri huweza kusimamisha kwa zaidi ya masaa mawili mpaka matatu.
Na hata wakipiga mabao yao mboo huwa haisinyai moja kwa moja bali hulegea kidogo huku mishipa ikizidi kutuna.

3. Anapiga punyeto.
Lazima huyo ndugu yako anapiga punyeto na tayari yupo addicted.

Embu fikiria Kama Una umri wa miaka 20-28 unashindwa kumridhisha mwanamke kwa ujinga na kuendekeza mambo ya kijinga na mitindo mibaya ya maisha Kama kunywa pombe kupita kiasi, kupiga punyeto, kula vyakula visivyo na tija mwilini. Hivi ukifikisha miaka 40+ huko si utagongewa mpaka umpe ruhusa mkeo akaliwe na wenzako. Maana wewe mwenyewe umeshakiri huwezi kazi.

Muda wa kubembelezana umeisha. Mwambie jamaa abadilishe mitindo ya maisha vinginevyo akichelewa hatakuwa na wakumlaumu.

Ni bora mwanamke akusaliti kwa tamaa zake za pesa lakini sio kwasababu ulishindwa kumpa haki yake.
 
Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Sema mtu huyo ni wewe mwenyewe; mficha uchi hazai kaka
 
Mimi nilichukua sana muda kuingia kwenye mahusiano ila nilipokuja kujaribu nilizungushwa sana na mwanamke mmoja hivi ila baada ya kukubali siku hyo nikiwa kwake alinipa mzigo na mashine ilikuwa sawa kabisa (imesimama kwa kiwango chake).

Baada ya kuanza kuvuana hadi akabaki uchi nashangaa uume ukalala na nikashindwa kusimamisha tena,nikaondoka na nikaomba tena kwa mwingne hali ikawa vile vile nikashindwa (wakati huo nilikuwa simjui mwanamke).

Nikamfata yule wa kwanza baadae ila ikagoma tena nilifanya mengi sana aisee hadi nikajikuta naoga njiani kisa imani za kishirikina ila nilikuja kudharau yote nikakaa nikatulia nikatafuta mwanamke nikamwelezea tatizo langu na akanielewa alinipa ushirikiano hadi nikafanikiwa.

Nashukuru sasa nina mtoto mmoja na ninapiga kazi hata masaa 24.

Sema nimeliongea juu juu kama nitapata muda nitakuja andika vzr.
Mkuu hongera sana. Mungu amekupigania kweli kweli, hajakuacha
 
Back
Top Bottom