Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Mkuu kuwa muwazi, huyo jamaa ni wewe lakini hapa unasema ni rafiki yako
 
Aliniambia aliwahi kuwa hivyo, kabla hajaoa. Akahisi ni maisha tu na stress zinamchenga. Sasa ana maisha mazuri, hali imejirudia. Kuna siku aliniambia alikuwa anafikiri pale akimvua pichu mwanamke, pengine kiharufu cha kawaida cha utelezi wa mwanamke unampa shida. Akawa anafunga kitambaa puani ili asiwe anahisi hiko ki harufu cha kawaida, lakini still shida ikawa iko pale pale.
Ananusa harufu kwani yeye ni beberu?
 
Kamanda mawazo utapata lakin badala yavidole vya mshikaji kwanini wwe usisaidie kama hinafika wakati anatoa siri nyeti kwako kama hiyo???
 
Navyojua mwanamke anaweza kuridhika kupitia njia nyingi na sio penetration ya dushe pekee. Kama wote wanapendana kwa dhati sioni kama hiyo hali inaweza kuleta mtafaruku sana kwenye mahusiano yao

Mdada awe supportive, amfanye jamaa awe comfortable kwa kumtia moyo na kutomnyanyapaa.


Unaishi wapi wewe? Dah umenikuna sana kwa jibu lako....unapenda mishikaki/nyama choma weye? Tuwasiliane nikupe offer.
 
Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.


Pole sana zinc kwa uume wako kusinyaa kihivyo....jaribu kwenda kwa wamasai wakusaidie na miti shamba yao.
 
Kama mnasema bora mwanaume mwenye nguvu kuliko pesa basi wana darisalama mwafa,maana huko ni chips tu,ndio maana wake zenu wakija semina dodoma ama bungeni mnagongewa sana na maskini wa huku
 
Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Kwa mfano ungesema tu ukweli kwamba mwenye hilo tatizo ni wewe mwenyewe usingejibiwa.?[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji30] [emoji30] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Heterosexual is the only normal sexual activity encountered amongst a man and a woman.Exercising other sexual activity is regarded as abnormal sexual devision.So penetration of penis into the vagina gives a full satisfactory to both couples.
Eh we nae unatuchanganyia mada hapa,kwan kasema homosexuality hapo??
English yenyewe ss
 
ni psychologia tu mwambie anitafte nimwelekeze jinsi kitunguu saumu na vitu vingine vinavyoweza kumsaidia 0621068486 anitext kwanza
Mhh mkuu tuwekee wote hapa,mana wahanga ni wengi
 
Kwa mfano ungesema tu ukweli kwamba mwenye hilo tatizo ni wewe mwenyewe usingejibiwa.?[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji30] [emoji30] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu mimi ni mkongwe hapa, na ninafahamika vema kabisa na wadau. Jambo hili ni shida ya rafiki yangu, nilijaribu kumsaidia kwa nafasi yangu lakini nikaona shida iko pale pale. Ndiyo nimeamua nishee na nyie na ushauri ninaopata hapa ni mzuri, nitamwambia baadhi ya mambo aanze kuyafanyia kazi haraka.
 
Yaani best, mi I hope awe anasimamisha na awe anachomeka mwenyewe, dushe ione njia yenyewe na iweze kuingia bila yeye au mtendewa kuishika. Sasa kisukari kinasababisha ushikiliwe then unasaidiwa kuingiziwa?!
Hebu njoo Pm fasta kuna babu yangu sehemu huwa anatibu hayo matatizo,
Ila andaa kiroba cha mchele 50 kg
Na mbuzi mkubwa mweusi kwa ajili ya mizimu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hebu njoo Pm fasta kuna babu yangu sehemu huwa anatibu hayo matatizo,
Ila andaa kiroba cha mchele 50 kg
Na mbuzi mkubwa mweusi kwa ajili ya mizimu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha utani ww
 
Back
Top Bottom