Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Dah! huwa nawahurumia sana marafiki wa wanajf, kila tatizo wao wanasingiziwa tu! Kwa maelezo mazuri uliyoyatoa hapa, mhusika ni wewe mwenyewe na kama ni rafiki yako basi huwa unamkula chabo.
Anyway, nenda hospital bro huenda ikawa ni hernia.
 
Hilo litakuwa jini mahaba ndio kazi yake chakumsaidia awasliane namimi kwa namba 0757056236 nitamsaidia natatizo lake litakwisha kwa uwezo wa mungu
 
Itakuwa ni jini mahaba na lipo upande wa mke wake.....haya majini yanatesa sana watu.
 
Nashauri utumie mda mwingi kwenye foreplay ili ku-ensure sufficient supply ya damu kwenye penis hii itasaidia kupenetrate kiurahis otherwise jaribu kuonana na urologist
 
Hilo tatizo lilinipata wakati naanza mahusiano aiseee utaaibika sana kama mwanamke ni mara ya kwanza kukutana nae.

Ila nilitulia na nilipiga kazi vizuri hadi sasa.

Aibu sana hiii usiombe ikukute
Uliwezaje kukwepa hii dhahma
 
Wakuu JF,

Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.

Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.

Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.

Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.

Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.

Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Wewe si ujiseme tu, sasa unazugia kwa jamaa wakati tatzo ni lako! Ingekuwa la kwake angeleta uzi hapa mwenyewe! , Matatzo ya wengi hayo hupaswi kuzugia !
 
Nitamwambia mkuu, ila aliwahi kwenda hospitali, daktari akamcheka, akamwambia aondoe mawazo, aelekeze akili yake pale. Ikaishia hivyo.
ww hili tatizo ni lako haiwezekan ukawa na details kias hicho..
 
Ushauri wangu mwambie azame chumvini(ALAMBE CHUMVIN) kama lengo ni kumridhisha mwanamke wake na ndoa itakuwa imara mno! Na kama atahitaji kuzaa then atumie artifiacial insemination !
 
mi nadhani rafiki yako ana jini mahaba tena huyo jini kamkubali sana jamaa yako na hataki apge show na mwanamke so cha msingi tafuta mganga mwaminifu ambaye anatumia kitabu anaweza kukusaidia pia nakuomba usitumie dawa za kuongeza nguvu.
 
Mkuu nataka niamini niwewe mwwnye shida ila unatumia identity ionekane ni jamaako. Niko na groups nyingi za natural therapies lakini kila siku post ni za dizaini yako had najiuliza humu sisi wote ni ndg zetu au marafiki ndo huumwa sisi hatuumwi?
Anyway uko na shida ya kisaikolojia na fear of the unknown. Puchu pia imekuharibu. Naweza nikasaidia msaada kwa kuanzia bure, (me sio mganga). Hiyo kitu ukienda hosp wanaenda kumalizia afu icho kitumbua itakua ndo basi
 
Mimi nilichukua sana muda kuingia kwenye mahusiano ila nilipokuja kujaribu nilizungushwa sana na mwanamke mmoja hivi ila baada ya kukubali siku hyo nikiwa kwake alinipa mzigo na mashine ilikuwa sawa kabisa (imesimama kwa kiwango chake).

Baada ya kuanza kuvuana hadi akabaki uchi nashangaa uume ukalala na nikashindwa kusimamisha tena,nikaondoka na nikaomba tena kwa mwingne hali ikawa vile vile nikashindwa (wakati huo nilikuwa simjui mwanamke).

Nikamfata yule wa kwanza baadae ila ikagoma tena nilifanya mengi sana aisee hadi nikajikuta naoga njiani kisa imani za kishirikina ila nilikuja kudharau yote nikakaa nikatulia nikatafuta mwanamke nikamwelezea tatizo langu na akanielewa alinipa ushirikiano hadi nikafanikiwa.

Nashukuru sasa nina mtoto mmoja na ninapiga kazi hata masaa 24.

Sema nimeliongea juu juu kama nitapata muda nitakuja andika vzr.
Hahahaa ulioga njiani, duuu mkuu ulifika mbali mno
 
Back
Top Bottom