tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 31
😛ray2:he he....aisee chalii angu ngema imenu...imenuna.....tumepiga moto lakini hamna ki...hamna kitu.....niko duniani chalii angu....unaweza kuja kunicheki.....nipo gado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😛ray2:he he....aisee chalii angu ngema imenu...imenuna.....tumepiga moto lakini hamna ki...hamna kitu.....niko duniani chalii angu....unaweza kuja kunicheki.....nipo gado
wapwa na mabinamu nina rafiki yangu ambaye huwa ananunua beseni zima la ndizi la dada mmoja hivi anayetembeza ndizi akisha nunua huyu dada anakaa kwake mpaka jioni anamchakachukua mpaka jioni. Hivi kweli hii imetulia?
in god we trust.
na assume kwamba huyo dada anapitisha hizo ndizi kila siku....................!
swali..je mshikaji anazifanyia nini ndizi zote hizo anazonunua mabesini kwa mabesini kila siku..............?
vidume tuna kazi..............!
anapika naluuu!nimejaribu kujiuliza ndizi zote hizo anafanyia nini........nimekosa jibu
kweli rafiki yako kiboko,naomba uniambie anakaa mitaa gani nipite na sinia langu la samaki,
lako likinunuliwa cheusi unishtue nipite na langu la parachichi
lako likinunuliwa cheusi unishtue nipite na langu la parachichi
na wewe ndio nn kutaja majina ya watu humu, haijatulia kabisahahaa mambo ya room mate wangu Kashy kule SUA
nimejaribu kujiuliza ndizi zote hizo anafanyia nini........nimekosa jibu
queenkami, hebu nieleweshe vizuri. Ni kwamba huyo rafikiyo ni wa kiume, siyo? Na ananunua ndizi kutoka kwa huyo dada muuza ndizi na ananunua beseni zima? Halafu huyo dada anashinda kwa jamaa (na assume huyo rafikiyo ni wa kiume) halafu jamaa anammega hadi jioni?
Duh..! Mi nilidhani mdada ndio ananunua beseni la ndizi, nilifika mbali na kukumbuka kuwa nimewahi kusikia matumizi mengine ya ndizi kwa warembo wa kihindi....! Lakini hapo sioni tatizo, maana dada huyo atakuwa anamletea mzee chakula, then naye hupata chake...! Naifananisha na uandaaji wa meza nyumbani kila siku, then baadaye kitandani....!WAPWA NA MABINAMU nina rafiki yangu ambaye huwa ananunua beseni zima la ndizi la dada mmoja hivi anayetembeza ndizi akisha nunua huyu dada anakaa kwake mpaka jioni anamchakachukua mpaka jioni. hivi kweli hii imetulia?
IN GOD WE TRUST.