rafiki yangu ananunua beseni zima la ndizi.

rafiki yangu ananunua beseni zima la ndizi.

he he....aisee chalii angu ngema imenu...imenuna.....tumepiga moto lakini hamna ki...hamna kitu.....niko duniani chalii angu....unaweza kuja kunicheki.....nipo gado
😛ray2:
 
Hilo linawezekana. Kununua beseni la ndizi zenye thamani ya tsh 5000 si ishu. Msingi ridhaa tu. Hata muuza ndizi 'anahitaji' japo kigezo cha kuhitaji chaweza kuwa ugumu wa biashara na kiasi cha kipato cha ndizi
 
wapwa na mabinamu nina rafiki yangu ambaye huwa ananunua beseni zima la ndizi la dada mmoja hivi anayetembeza ndizi akisha nunua huyu dada anakaa kwake mpaka jioni anamchakachukua mpaka jioni. Hivi kweli hii imetulia?
in god we trust.


quid pro quo
 
duuuhhh kwakeli kwa hiyo ananunua ndizi halafu anapewa na nyongeza.........
huyo hata kaa anunu ndizi sokoni....
 
hiyo nayo mpya inamaana yeye ana nunua ndizi tu kwanini asinunue pweza au karanga na kwanini ana nunua kwa wanawake ana lake jambo kwakweli any way watu wanasema tembea uone duniani kuna maajabu, lakini haija tulia hapo ndizi zote anamaliza mwenywe?
 
na assume kwamba huyo dada anapitisha hizo ndizi kila siku....................!
swali..je mshikaji anazifanyia nini ndizi zote hizo anazonunua mabesini kwa mabesini kila siku..............?
vidume tuna kazi..............!

nimejaribu kujiuliza ndizi zote hizo anafanyia nini........nimekosa jibu
anapika naluuu!
 
ZUGA: hapo hainunuliwi ndizi.... Ni staili mpya ya kujiuza kwa wanawake...... Beseni la ndizi geresha tu...ananunuliwa pale ni mwana wa Eva
Mtindo huo ni maarufu mitaa ya BOT pale posta ...uliza shoe shiners pale watakujuza!!!
 
kweli rafiki yako kiboko,naomba uniambie anakaa mitaa gani nipite na sinia langu la samaki,
 
lako likinunuliwa cheusi unishtue nipite na langu la parachichi





Mwe! nyie watu nyie preta na mwenzio cheusi jamaa akishanunua hilo beseni lote then ujue ni kukuchakachua mpaka jua lizame ndo anashuka...:crutch:
 
lako likinunuliwa cheusi unishtue nipite na langu la parachichi

preta bwana tuachie mie na wa ndizi,wewe na miparakado yako utafanya tumbo limvurugike bure.
ila kama mziki wake wa siku nzima ukinishinda nakushtua ukajaribu.
 
nimejaribu kujiuliza ndizi zote hizo anafanyia nini........nimekosa jibu


hahahah shida yake sio ndizi shida yake ni muuza ndizi ...labda baada ya kuchakachua anakula na kugawa pia ..
Inawezekana ahata queenkami anagaiwa ndizi kidogo
 
queenkami, hebu nieleweshe vizuri. Ni kwamba huyo rafikiyo ni wa kiume, siyo? Na ananunua ndizi kutoka kwa huyo dada muuza ndizi na ananunua beseni zima? Halafu huyo dada anashinda kwa jamaa (na assume huyo rafikiyo ni wa kiume) halafu jamaa anammega hadi jioni?

rafiki yangu ni wa kiume ndio.
 
WAPWA NA MABINAMU nina rafiki yangu ambaye huwa ananunua beseni zima la ndizi la dada mmoja hivi anayetembeza ndizi akisha nunua huyu dada anakaa kwake mpaka jioni anamchakachukua mpaka jioni. hivi kweli hii imetulia?
IN GOD WE TRUST.
Duh..! Mi nilidhani mdada ndio ananunua beseni la ndizi, nilifika mbali na kukumbuka kuwa nimewahi kusikia matumizi mengine ya ndizi kwa warembo wa kihindi....! Lakini hapo sioni tatizo, maana dada huyo atakuwa anamletea mzee chakula, then naye hupata chake...! Naifananisha na uandaaji wa meza nyumbani kila siku, then baadaye kitandani....!
 
Back
Top Bottom