Rafiki yangu anasomesha mchumba wake,ingawa mchugaji alishamwambia "mchumba hasomeshwi"

Rafiki yangu anasomesha mchumba wake,ingawa mchugaji alishamwambia "mchumba hasomeshwi"

Mahusiano hayana fomula..wengine tulio wasomesha ndio tumeoa na sahvi tunakula matunda ya ndoa na familia.

Chamsingi asiendekeze mapenzi airuhusu akili ifanye kazi yake...ili kujua yupo direction gani.

#MaendeleoHayanaChama.
Weka akiba ya maneno mkuu isije siku ukajisahau ukaleta thread unatafuta mpenzi au mke wa kuoa humu..tutakufukulia hili kaburi...
 
Kitu kimoja nilichokuja kukigundua wanaume wengi kwenye mahusiano hua hawawezi kusema "hapana hicho siwezi nikakifanya maana sio jukumu langu hilo" cha pili wanaume wa mikoani hua ni washamba sana kwa wanawake..kuna jamaa mmoja wa mkoani huko nilipewa namba ya demu wake nilivyoanza kumchombeza manzi wake huyo jamaa alipaniki vibaya mno alikua anawatuma watu waje wanifatilie ooh mara tuonane nini na nini nikamuuliza mmoja wapo wa waliotumwa "je huko mikoani mademu ni adimu sana au?" Yule alietumwa tunawasiliana hadi leo bado nimebakiza kumla..wanaume wa mikoani ni dhaifu sana kwa wanawake
 
Daaah!!! labda kwa kuwa kaona ngekewa baada ya kukataliwa na wengi na wenda ikawa bahati yake.

Lakin ukwel ni kwamba hata siku moja
Huwez kwenda kupanga chumba kibovu kwa bei rahisi afu ukikarabati arafu utegemee mwenye nyumba aendeele kukutoza bei rahisi Lazima apandishe kodi.

Huyo mwanamke atakapo panda thaman ndio atakapo ona jamaa sio type yake hivyo ataanza nyodo. Nimala nying Sana hutokea kitu kama hiyo

By the way wew naymchungaji muwe mna mfanyia ibada rafiki yako walau kila week Mala moja ili asije jiua hapo baadae mambo yakienda ndivyo sivyo
 
Daaah!!! labda kwa kuwa kaona ngekewa baada ya kukataliwa na wengi na wenda ikawa bahati yake.

Lakin ukwel ni kwamba hata siku moja
Huwez kwenda kupanga chumba kibovu kwa bei rahisi afu ukikarabati arafu utegemee mwenye nyumba aendeele kukutoza bei rahisi Lazima apandishe kodi.

Huyo mwanamke atakapo panda thaman ndio atakapo ona jamaa sio type yake hivyo ataanza nyodo. Nimala nying Sana hutokea kitu kama hiyo

By the way wew naymchungaji muwe mna mfanyia ibada rafiki yako walau kila week Mala moja ili asije jiua hapo baadae mambo yakienda ndivyo sivyo
Sio tu kukupandishia kodi, bali atakutimua ili ampangishie mtu mpya kwa bei kubwa zaidi🤣🤣🤣
 
Kitu kimoja nilichokuja kukigundua wanaume wengi kwenye mahusiano hua hawawezi kusema "hapana hicho siwezi nikakifanya maana sio jukumu langu hilo" cha pili wanaume wa mikoani hua ni washamba sana kwa wanawake..kuna jamaa mmoja wa mkoani huko nilipewa namba ya demu wake nilivyoanza kumchombeza manzi wake huyo jamaa alipaniki vibaya mno alikua anawatuma watu waje wanifatilie ooh mara tuonane nini na nini nikamuuliza mmoja wapo wa waliotumwa "je huko mikoani mademu ni adimu sana au?" Yule alietumwa tunawasiliana hadi leo bado nimebakiza kumla..wanaume wa mikoani ni dhaifu sana kwa wanawake
Nchi gani haina mkoa au kwako ni nini maana ya mkoa? isijekuwa hata nawe unaishi mkoani tu ila hujui...teh [emoji16]
 
[emoji477]
Za mda huu hapo ulipo..
Iko hivi, Nina rafiki Yangu mmoja ambaye ukweli ni rafiki yangu na tunasaidiana sana.

Rafiki yangu amepitia maisha magumu sana na kuonekana kama hana thamani kwa hawa dadaz. Hiyo ni kwa sababu kila mwanamke aliyekuwa anataka kumchumbia au kuoa alikuwa anamtolea nje, mchungaji wetu amejitahidi sana kumkutanisha na dadaz wengi sana Wa pale kanisani lakini hakufanikiwa.ilifikia hatua hadi mchungaji akamwambia sasa jitafutie na ukipata Wa kukubali basi niambie na Mimi nitakutolea mahali na kukupa zawadi kubwa(sitaitaja igawa inajulikana)

Hivyo rafiki Yangu katika pitapita zake kuna dada akamuelewa hivyo taarifa zikafika kwa mchungaji na wakajitabulisha kiofisi na sio kanisani.. Sasa changamoto ikiwa binti ndio kamaliza form six na amechaguliwa chuo kwa level ya diploma.. Na mchumba kakomaa kuwa lazima akasome huku mambo mengine yakiendelea.

Katikati ya mahusiano jamaa alipata tuseme muujiza Wa kupata pesa za pamoja kama milioni mbili na sehem. Hivyo Mchugaji kwa haraka sana akamwambia kuwa, najua mchumba wako anaenda chuo na usipoangalia hii pesa uliyoipata itabidi nikubane ili ununue kitu cha kukuingizia kipato kabla ya chochote...mwisho akamwambia,tambua na uweke akilini kuwa mchumba hasomeshwi.

Kweli mchungaji akamsimamia jamaa akaanza mradi huo...
Cha ajabu kila wiki makusanyo yote ya wiki nzima mchumba anakuja kuchukua kirahisi kabisa weekend.na ikifika jumatatu jamaa ananiambia Jana Shemeji yako kaja na hapa sina hela kabisa maana kuna mahitaji nimempa ya chuo...

Jamaa ninavyofahamu ni dhaifu sana kwa wanawake maana nakumbuka alishawahi kuja kwangu kutaka kukopa pesa ili amnunulie mwanamke kitenge alichokita.kwa vile sikuwa na pesa ilibidi auze debe LA mahidi ya ndani ambayo alitumiwa na mzazi mwezie kwa ajili ya Mtoto(jamàa anaishi na mwanae)

Nawaza kwa peak aliyopo sasa kwa huyo mpz wake sio rahisi kumshauri kitu..lakini wakati huo huo principal inakataa kumsomesha mchumba hapo ndio nimebaki kuduwaa tu na kuomba Mungu ampe moyo mkuu hapo baadae
Maana sina uhakika kama mchumba ataweza kuhili kuishi na mtu ambaye ni darasa LA sana saba hali yeye ni diploma ya sayansi.ingawa yote yanawezekana

Ya moto
 
Hadi sasa hata Mimi naona jamaa anapedwa tena anapedwa sana, na jamaa hakutaka hata kumla kabla ya ndoa ila dem ndio akamwambia lazima amle ili akili ikae sawa.
Tahadhari ni kuwa pale Shemeji Yangu akibadilisha gia angani sijui jamaa itakuwaje maana jamaa yangu ni kati ya watu ambao mahusiano yanawachukulia sana nafasi
Mbona unashughulika saaana na hayo mahusiano ya rafiki yako??? Si kaamua yeye unajuaje km ndo amefika mwisho wa kuangaika na mapenzi?
 
Pia tambua kuna tofauti kubwa kabisa kati ya mvulana na mwanaume, na hii haijalishi muhusika atakuwa anaishi mahali gani.

Mvulana huwa hana maamuzi yaliyonyoka hata siku moja kwa Mwa/Wanawake linapokuja swala la NDIYO au HAPANA ili asimamie ukweli na kuwa huru ingawa ni rijali na ana ni jinsia ya kiume.

Mwanaume huwa hapindishi kimaamuzi kwa Mwa/Wanawake linapokuja swala la NDIYO au HAPANA ili asimamie ukweli na kuwa huru ilihali akiwa ana jinsia ya kiume.

Mara nyingi utofauti huo husababishwa na ukomavu wa akili kimahusiano kwa asili ya Mtu kitabia au kuzongwazongwa na changamoto nyingi sana kimahusiano baada ya kusalitiwa na Mwa/Wanawake.

So unapomwona kijana kama huyo bado anapelekeshwa katika hatua kama hiyo tambua ndipo kwanza anaanza kukomaa kiupeo ili atoke kwenye uvulana na kuingiwa na uanaume, japo si wote wanaofaulu hiyo hatua maana wapo ambao hudumu daima kuwa wavulana hadi uzeeni sababu ya ulimbukeni wao tu mapenzi.
Kitu kimoja nilichokuja kukigundua wanaume wengi kwenye mahusiano hua hawawezi kusema "hapana hicho siwezi nikakifanya maana sio jukumu langu hilo" cha pili wanaume wa mikoani hua ni washamba sana kwa wanawake..kuna jamaa mmoja wa mkoani huko nilipewa namba ya demu wake nilivyoanza kumchombeza manzi wake huyo jamaa alipaniki vibaya mno alikua anawatuma watu waje wanifatilie ooh mara tuonane nini na nini nikamuuliza mmoja wapo wa waliotumwa "je huko mikoani mademu ni adimu sana au?" Yule alietumwa tunawasiliana hadi leo bado nimebakiza kumla..wanaume wa mikoani ni dhaifu sana kwa wanawake
 
Sjakuelewa wewe, sjamuelewa rafiki ako, wewe unaonekana kuguswa sana na hayo mahusiano ya rafiki ako, rafiki yako naye sjui zoba au zuzu eti anafikia hatua ya kuuza mahindi alopewa na mama mtoto kwa ajili ya chakula kisa mwanamke
 
Mwambie nakodisha bastora kwa bei rahisi [emoji23]

"Kuna vitu vingine ni vya kujitakia hizo ela za kusomesha si bora upige vyombo tu maana mbinguni hamna bia [emoji16]
 
Nasikia harufu ya kifo kifo....



😰😭😭😭😭😭😭
 
Akimalizana na mchumba asomeshe na wadogo wa mchumba..akimaliza ajenge na nyumba ukweni..m

Mambo mengine bwana..
 
Kwa hii sentensi. Huyo jamaa yako anapoteza muda kwa huyo muhuni. Huyo mwanamke hatakuja kumuoa baada ya kumaliza chuo. Kama jamaa ameishia form 4 au 6 basi ndiyo imetoka hivyo. Mwambie jamaa yako fa*la sana. Mchumba hasomeshwi
Cha ajabu kila wiki makusanyo yote ya wiki nzima mchumba anakuja kuchukua kirahisi kabisa weekend.na ikifika jumatatu jamaa ananiambia Jana Shemeji yako kaja na hapa sina hela kabisa maana kuna mahitaji nimempa ya chuo.
 
Back
Top Bottom