Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

Anahairisha jambo dogo hivyo je ana kifua cha kumsamehe akishamfumania wakiwa kwenye ndoa? Nadhani hiyo clip angekuwa nayo kama somo la namna nzuri ya kujifunza namna ya kuishi nae katika mambo ya faragha
 
Unaoa mwanamke ameshalala na wanaume 5+ unategemea purity? Kabinti kana 25 kameshawekwa hadi basi, ukitaka kukachunguza hutaoa, wengi ni wametumika sana.
 
Ngarama za amani ya Moyo ni kubwa kuliko Gharama yoyote Maishani.
Mshauri asiangalie gharama alizotumia kama kigezo cha kuoa sehemu ambayo hatokuwa na amani huenda sehemu kubwa ya maisha yake yaliyobaki hapa Dunia. Ndoa ni mtego mbaya awe makini, thamani ya furaha na amani kwake haizid hailinganishwi wala kupimwa kwa kiasi chochote cha visa wala vito vyenye thamani kubwa.
 
Atumie akili yake kati ya gharama alizoingia kwa penzi hewa au hadhi yake ambayo ishaingia doa kabla ya ndoa.

Anaruhusiwa kusitisha kila kitu na sheria ya mahusiano ya ndoa inampa haki kudai arejeshwewe gharama alizoingia pamoja na nafuu yeyote ambayo Mahakama itaona vyema.

Usahahidi wa video unapokelewa mahakamani.

Achague kwa hekima maana akishafunga ndoa, hakuna kuachana hadi pumzi inakata kwa mmojawao
 
Mbona kazi rahisi tu apeleke hiyo video kwa wakwe zake. Kama ana mwansheria awaambie warudishe mahari na gharama zote, but sometimes unaweza usidai hizo unapotelezea tu...

Mwambie amshukuru Mungu sana kamuepusha na mabalaa ya ndani ya ndoa.. huyo sio mke ni nungeyembe
 
Kwan hivo vyote mmeshalipia au ni bajeti?.

Huyo mwanamke hafai, maana yake atalazimika jamaa kutokua na marafiki ikiwa ataendelea naye.
 
Aoe haraka maana zile zake pia zitatoka. Lkn siku zote watu huajiri mwenye uzoefu yeye amepata tayari huyo mzoefu🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Anafuata kifo..atulie maisha haya yana mambo mengi sana.
 
Aitupie hiyo connection mtandaoni
 
Mwambie aoe tu mana usikute huyo mwanamke kashatubu na kaachana na yote hayo
 
Mkuu binti gani anakubali kuolewa under 25 hapa bongo??
Unaoa mwanamke ameshalala na wanaume 5+ unategemea purity? Kabinti kana 25 kameshawekwa hadi basi, ukitaka kukachunguza hutaoa, wengi ni wametumika sana.
 
🤣🤣🤣 kumbe bdo ajaoa mbona n rahisi alete pc ingne geto hyo pesa aliyotowa kule afanye kama fungu la kumi katowa
 
Afanye tu harusi yake hakuna aliye salama 😅aliyetumiwa na ambaye hajatumiwa.
 
Usimsingizie jamaa. Huyo ni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…