The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Ndo wajue uchafu wa Binti yaoHii haiwezi athari leta za kisaikolojia kwa wazazi wa binti ni wazee wa 70's??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wajue uchafu wa Binti yaoHii haiwezi athari leta za kisaikolojia kwa wazazi wa binti ni wazee wa 70's??
𝐤𝐮𝐧 𝐧𝐧 𝐦𝐤𝐮𝐮Aende Dongobesh hata jutia....
✍️✍️✍️ WAHENGA walishasema BORA ukosee kujenga kulko ukosee kuoa.....iko hivi kama huyo mwanamke amekubal Hadi kuerekodiwa akila NYAPUUUU maana yake huyo n MALAYA mzoefu.....huyo hata ukimweka ndani Kuna Siku ataruka UKUTAA kwenda KUDANGA..... USHAURI WA BURE:ACHAna na huyo mwanamke hafai kuwa mama Bora wa watoto wako..... kumbuka malezi ya mama ndio inayomkuza mwana .....huyu atakuja kukuletea UZAO wa WAZINZI......Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?