Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

Japo ni chai ila ingekuwa mimi sioi hata kwa ushauri wa sheikh au mchungaji mwandamizi.
 
Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,

Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu

Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M

Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana

Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
✍️✍️✍️ WAHENGA walishasema BORA ukosee kujenga kulko ukosee kuoa.....iko hivi kama huyo mwanamke amekubal Hadi kuerekodiwa akila NYAPUUUU maana yake huyo n MALAYA mzoefu.....huyo hata ukimweka ndani Kuna Siku ataruka UKUTAA kwenda KUDANGA..... USHAURI WA BURE:ACHAna na huyo mwanamke hafai kuwa mama Bora wa watoto wako..... kumbuka malezi ya mama ndio inayomkuza mwana .....huyu atakuja kukuletea UZAO wa WAZINZI......
 
Daaaah! Kinachoumiza apo ni mshikaji kula demu wa mshikaji tena kabla ya harusi na kisha kuchukua video.... swali; nani katuma video???
 
Back
Top Bottom