Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

Hapo ndio lakufanya....hamna kusitisha wala nini kila kitu kinaendelea last day wee huyoooo unaenda zako mamtoni.
Wakwe unawatumia video wajionee wenyewe walivyokuza mtoto wao
Na hawezi kuolewa na yeyote tena maishani mwake, unakuwa umemroga kisomi.
 
Labda anataka nayeye ajifunze sio kuparamia tu utazani ana angua limao na ndimu
 
Huu uzi ni marudio tu.

Hauna ukweli wowote.

Umesha chapishwa sana hapa JF kutafuta attention za watu tu.
 
Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,

Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu

Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M

Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana

Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Hii haitaji hata ushauri wa mtu yeye ndio mwenye uamuzi hakuna ndoa hapo...adai gharama zake zote awaachie zigo lao
 
Pesa makaratasi,hasara roho,ampige chini tu hakuna mke hapo
 
Back
Top Bottom