Rafiki yangu anataka kunipa kiwanja

Rafiki yangu anataka kunipa kiwanja

Habarini wana JF!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.

Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.
Wewe ni jinsia gani na yeye ni jinsia gani?
 
Habarini wana JF!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.

Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.
Mwambie akuuzie kiwanja na sio kukupa bure
 
Habarini wana JF!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.

Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.
"Usipende vya bure vitakugharimu!"
 
Habarini wana JF!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.

Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.
Kuwa makini na rafiki yako, pengine anataka ujenge akunyang'anye nyumba!
 
Habarini wana JF!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.

Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.
Nahisi Itakuwa wewe ndiye ulimuomba akisaidie akupe sehemu ya eneo lake Ili ujenge, uondolane na kodi
 
Back
Top Bottom