Habarini wana JF!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.
Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm naish maeneo flani ya mji sasa ninarafiki yangu yupo vizuri kidogo kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu rafiki yangu kwa kuon natesek na kodi anataka kunikatia kipande kidogo cha eneo lake ili nijenge.
Sasa swali langu je, vitu gani muhimu vya kuzingatia kwenye makabidhiano ili isije kuleta changamoto hapo baadae kweny umiliki wangu na ninapo amua kujenga mana binadamu hawaeleweki( wanabadilika) na yeye ndio mwenye hatimiliki asanten.