Rafiki yangu anayependa wanawake hatimaye apata Gono

Rafiki yangu anayependa wanawake hatimaye apata Gono

Siku za nyuma niliwahi kuleta uzi juu ya rafiki yangu ambaye tuna-share baadhi ya idea kuhusu kazi na maisha, nilimuelezea vya kutosha kuwa yeye na nyapu ni sawa na fisi na mifupa. Hata apite wa gharama gani, ni yuko tayari kuuza hata roho ili aonje tu hata kwa nusu dakika, kwake inatosha kabisa, na si kuacha mbususu iondoke hivi hivi akiwa anaiona

Jana asubuhi kanipigia simu akidai anapokojoa, anahisi maumivu sawa na dagaa wa Mwanza watangulizwe mikia wakiwa wanatoka kibofuni kuelekea nje ya mwili. Anadai pia wakati mkojo unakata, unafuatiwa na manii. Nilimshauri apige Azuma, lakini anakwambia hali bado iko vile vile

Nimetoka kumshauri aelekee duka la madawa ama hospitali kwa maelekezo zaidi, anadai mimi ni kama ndugu yake, hivyo kwa pamoja tuongozane kuelekea kwa hospital nikamsaidie kwa kuwa yeye anaona sijui aibu sijui woga, akidai kwamba ni mara yake ya kwanza kukumbana na huyu venom

Sijui ananichukuliaje! Mambo ya kuongozana kwa hospital yaliishia enzi zile mke wangu alipokuwa anahudhuria kliniki, tena ni kwa mimba ya kwanza tu. Eti leo niongozane na mwamba, eti tunaenda kupambana na ghono alilolipata wakati ana njunga njunga kwa raha zake, muda huo akisukumia ukuni kwa hasira kali, sijui ananionaje huyu umbwa. Duniani kuna vituko asikwambie mtu

Ni hayo tu. Mola anisaidie ingawa bado sija experience kitu cha namna hii, na sitegemei kwa kuwa mimi sio mroho wa nyapu
Utajua wewe
 
Ndo anataka tuongozane, kwa kuwa yeye anahisi hawezi kusimama mbele ya manesi akiwa mwenyewe. Kuna muda alidai niende Pharmacy nikajisingizie kuwa mimi ndo naumwa ili nipatiwe dozi

Anadhani kubeba msalaba wa gono ni rahisi kiivyo, subiri likianza kuvunja kichwa cha uume ndo atajua mlango wa Mhimbili uko wapi
Manesi wamefundishwa kufanya kazi kuhudumia mpaka majambazi wauaji bila kuwahukumu.

Hayo mambo ya gono madogo sana kwao.
 
Siku za nyuma niliwahi kuleta uzi juu ya rafiki yangu ambaye tuna-share baadhi ya idea kuhusu kazi na maisha, nilimuelezea vya kutosha kuwa yeye na nyapu ni sawa na fisi na mifupa. Hata apite wa gharama gani, ni yuko tayari kuuza hata roho ili aonje tu hata kwa nusu dakika, kwake inatosha kabisa, na si kuacha mbususu iondoke hivi hivi akiwa anaiona

Jana asubuhi kanipigia simu akidai anapokojoa, anahisi maumivu sawa na dagaa wa Mwanza watangulizwe mikia wakiwa wanatoka kibofuni kuelekea nje ya mwili. Anadai pia wakati mkojo unakata, unafuatiwa na manii. Nilimshauri apige Azuma, lakini anakwambia hali bado iko vile vile

Nimetoka kumshauri aelekee duka la madawa ama hospitali kwa maelekezo zaidi, anadai mimi ni kama ndugu yake, hivyo kwa pamoja tuongozane kuelekea kwa hospital nikamsaidie kwa kuwa yeye anaona sijui aibu sijui woga, akidai kwamba ni mara yake ya kwanza kukumbana na huyu venom

Sijui ananichukuliaje! Mambo ya kuongozana kwa hospital yaliishia enzi zile mke wangu alipokuwa anahudhuria kliniki, tena ni kwa mimba ya kwanza tu. Eti leo niongozane na mwamba, eti tunaenda kupambana na ghono alilolipata wakati ana njunga njunga kwa raha zake, muda huo akisukumia ukuni kwa hasira kali, sijui ananionaje huyu umbwa. Duniani kuna vituko asikwambie mtu

Ni hayo tu. Mola anisaidie ingawa bado sija experience kitu cha namna hii, na sitegemei kwa kuwa mimi sio mroho wa nyapu
Kwa ulivyoelezea vizuri umetisha, na itoshe kusema tu ni wewe ila umeamua kutoa kama reported speech. Pole mkuu ila piga AZUMA na maji mengi.
 
Nimetoka kumshauri aelekee duka la madawa ama hospitali kwa maelekezo zaidi, anadai mimi ni kama ndugu yake, hivyo kwa pamoja tuongozane kuelekea kwa hospital nikamsaidie kwa kuwa yeye anaona sijui aibu sijui woga, akidai kwamba ni mara yake ya kwanza kukumbana na huyu venom
Ametoka hapa kwwenye pharmacy jirani sasa hivi
 
Gono ni ugonjwa ulio Very common kwa mazingira yetu. Shida ya ugonjwa huu ni wa aibu mno, ukivaa boxer inachafuka na ule usaha unaotoka bila breki, yaani ule usaha hauishi, ukienda kukojoa na huo unatoka pamoja na mkojo. Kama umeupata huko nje na incase kama umeoa ndo kimeo zaidi, na usipokuwa makini unamuambikiza mkeo.

Ukiogopa kwenda hospitali means utakaa na ugonjwa na itakuwa critical, sometimes kuzuia aibu wengine wanaweka tissue kuzungusha penis ili usaha usiguse boxer, very shame disease. Kwa wanawake ni harufu kali toka kwenye vaginal, wengine sasa wenye gono sugu hata harufu hawatoi, lakini ukisex naye tu utaanza kuona penis inawasha kwa ndani, early stages...

Ni salama sana ukikutana na demu mpya kutumia kinga condoms, very safe sex, otherwise kuacha kabisa ngono zembe.

Matumizi ya antibiotics ndio dawa sahihi za huu ugonjwa. Ukifika critical stages Basi lazima uchome sindano za siku 5 kwenye mishipa ya damu ya mkononi, zinaanza booster syringes 2 kwa mpigo, then every day unachoma moja for 5 days.

Ugonjwa huu unatibika na kwakuwa tumeumbwa kusahau, basi baada ya muda binadamu yuleyule anaanza tena ngono zembe 😆😆😆

Ndio maana tafiti zinasema gono ni ugonjwa unaanza kuzoeleka mtaani, kwa nchi nyingi hasa za ukanda huu wa chini ya jangwa la Sahara.

Fanya kila kitu lakini mwombe Mungu sana usipate ugonjwa wa kusinyaa kwa ini unaosababishwa na ngono zembe. It's fatal death disease. Mwambie mwanao aWahi hospital akatibiwe, aachane na ushauri wako wa hovyo kunywa kunywa dawa zisizoshauriwa na vipimo.
 
Gono ni ugonjwa ulio Very common kwa mazingira yetu. Shida ya ugonjwa huu ni wa aibu mno, ukivaa boxer inachafuka na ule usaha unaotoka bila breki, yaani ule usaha hauishi, ukienda kukojoa na huo unatoka pamoja na mkojo. Kama umeupata huko nje na incase kama umeoa ndo kimeo zaidi, na usipokuwa makini unamuambikiza mkeo.

Ukiogopa kwenda hospitali means utakaa na ugonjwa na itakuwa critical, sometimes kuzuia aibu wengine wanaweka tissue kuzungusha penis ili usaha usiguse boxer, very shame disease. Kwa wanawake ni harufu kali toka kwenye vaginal, wengine sasa wenye gono sugu hata harufu hawatoi, lakini ukisex naye tu utaanza kuona penis inawasha kwa ndani, early stages...

Ni salama sana ukikutana na demu mpya kutumia kinga condoms, very safe sex, otherwise kuacha kabisa ngono zembe.

Matumizi ya antibiotics ndio dawa sahihi za huu ugonjwa. Ukifika critical stages Basi lazima uchome sindano za siku 5 kwenye mishipa ya damu ya mkononi, zinaanza booster syringes 2 kwa mpigo, then every day unachoma moja for 5 days.

Ugonjwa huu unatibika na kwakuwa tumeumbwa kusahau, basi baada ya muda binadamu yuleyule anaanza tena ngono zembe 😆😆😆

Ndio maana tafiti zinasema gono ni ugonjwa unaanza kuzoeleka mtaani, kwa nchi nyingi hasa za ukanda huu wa chini ya jangwa la Sahara.

Fanya kila kitu lakini mwombe Mungu sana usipate ugonjwa wa kusinyaa kwa ini unaosababishwa na ngono zembe. It's fatal death disease. Mwambie mwanao aWahi hospital akatibiwe, aachane na ushauri wako wa hovyo kunywa kunywa dawa zisizoshauriwa na vipimo.
Aiseeee! Noma sana ngoja nikitulize limbo..lo langu maisha mengine yaendelee
 
Jamani ili gono limekuwa tishio kwa sasa nini sababu ya huu ugonjwa kusambaa kwa wingi kiasi hichi mana haiwezi kupita siku pasipo mtu kuleta mada ya gono
 
Kwahyo rafiki amekuomba msaada wewe umekuja kumsengenya Huku? Gono nacho nikitu Cha kumsema mtu?
 
Back
Top Bottom