Rafiki yangu home boy majuu amebadilisha jinsia na kuwa wa kike

Huyo c mwana Tena n aunt fulan uko alipo ...
 
Maisha yake kweli hayakuhusu na vyema ulivyoamua

Atakuwa kapata bonge la tajiriiiiii
 
Dah!Kwa hiyo anapandwa?🤔
 
Mbona hujaweka picha? Kwa hiyo kawekewa ****?
 
Bad thing ni kwamba yeye anaamini kwamba wanaume wana kaba ndo maana akakuambia wewe akitegemea utaimezea ila kumbe na wewe ulipaswa tu uende huko marekani
 
Huyo sio mwanao Tena kuanzia sasa huyo ni Binti yako heshimu pronoun mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…