Rafiki yangu home boy majuu amebadilisha jinsia na kuwa wa kike

Rafiki yangu home boy majuu amebadilisha jinsia na kuwa wa kike

Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu

Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo ameniambia ameamua kubadilisha jinsia(transgender) ili aolewe na anasema maisha magumu ni source

Baada ya hapo nikamblock na nimefikisha hilo jambo kwa wazazi wake vijana acheni tamaa za kijinga


Umemblokia nini? Ni either chai au wewe ni mpumbavu wa kutupa, hatugombani na watu kwa sababu za uchaguzi wa namna wanavyotaka kuishi.
 
Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu

Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo ameniambia ameamua kubadilisha jinsia(transgender) ili aolewe na anasema maisha magumu ni source

Baada ya hapo nikamblock na nimefikisha hilo jambo kwa wazazi wake vijana acheni tamaa za kijinga
Chai
 
Dah kwamba mwana karidhia kabisa semi ziwe zinaingia kupark garage....
 
Naweza kusema kibaha ilikuwa shule maalum, means ni mtu mwenye akili nzuri tu.

Hivi anafikiria kuwa mwanamke ni kielelezo cha maisha kuwa laini?
 
Nimeandika nikafuta nikaandika tena nikafuta, life is not simple
 
Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu

Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo ameniambia ameamua kubadilisha jinsia(transgender) ili aolewe na anasema maisha magumu ni source

Baada ya hapo nikamblock na nimefikisha hilo jambo kwa wazazi wake vijana acheni tamaa za kijinga
maisha magumu ndio yamewafanya hata vijana wengi Arusha na DSM kuwa mashoga. matajiri wanawatamanisha pesa na kuwataka wajaribu mara moja tu, kumbe wakifanya hivyo shetani anaingia. kitu kingine ni madawa ya kulevya, hao mateja wote ni mashoga kwasababu akipiga kitu akajikuta kama yule ulaya vile, wenzie huwa wanajisevia, wakiendele akupiga anajikuta ameshakua punga. hao wengi wanaosafiri nchi za watu kama hana kazi lazima ahifadhiwe, na anayemhifadhi kama ni shetani wa aina hiyo hawezi kumwacha salama au la anamtimua. pombe pia. nakumbuka wakati tunasoma kuna ticha wetu mmoja alikuwa analewa hadi wanabeba. siku moja wameenda kumbeba baada ya kulewa amedondoka njiani, kufika pale nguo ya ndani hana na suruali ipo pembeni, masela wamejisevia, aliendelea hivyo wee kumbe na yeye akawa ameshakuwa sugu na shetani kamwingia, akitaka kufokomolewa anaenda kulewa halafu wajinga watajiongeza. ukiangalia vizuri pamoja na kwamba shida ni chanzo cha vijana kuuza utu wao, ila matendo ya ulevi wa aina zote pia vinachangia, na mtu akishakuwa hivyo unaambiwa sio rahisi kurudi. ndio maana hata ajifiche vipi kuna siku atagundulika tu kwasababu wanasema inakuwa kama addiction na akili inafyatuka anakuwa sio yule uliyekuwa unamfahamu tena.
 
Back
Top Bottom