Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
Kwahiyo umeamua uje unichome huku au siyo?
Mambo dada [emoji3059]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo umeamua uje unichome huku au siyo?
Poa kakaMambo dada [emoji3059]
Naona uvivu kusomaMadhara ya kumtongoza mwanamke kwa miezi 8 hadi miaka miwili, ndo haya Dinazarde Mzigua90 Evelyn Salt
Kwa kweliWanawake wana olewa kwa sababu ya shida[emoji848]
Jamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba uahauri na mimi nikaona nilete umu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na ajui kuwa wa3 sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kua ana kibamia,,yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili!
Asikufe amwagiwe tindikali sehem za SiriNashauri shoga ako auwawe....
Ndege wafananao huruka pamoja,umenierewaJamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.
Akiamua kujiua baada ya kugundua watoto 3 sio wake,wewe utakuwa ni chanzo namba 1 cha kifo chake...Mimi nakushauri kitu tafuta cm ya mtu mtumie msg kama raia mwema huyo mwanaume mwambie watoto namba 1 mpaka 3 sio wake akapime DNA.
Afadhali umenifumbua kumbe watatu sio wa kwanguJamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.
Ww unajuaje mkuuNajiuliza Mwanaume unashindwaje kujua kua huyu mtoto Ni bao langu au si bao langu...??