Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Auawe kisa na mkasa?Nashauri shoga ako auwawe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Auawe kisa na mkasa?Nashauri shoga ako auwawe....
Kwakweli, uongo mtupu.
hahahahaShoga yako Gunia la mkaa litamuhusu
Kama binadamu lazma uumie kufanyiwa hiko kitendo.Inauma eeh?
Nimeshindwa hata kumalizaMadhara ya kumtongoza mwanamke kwa miezi 8 hadi miaka miwili, ndo haya Dinazarde Mzigua90 Evelyn Salt
DaahJamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.
Aaaah unazingua mziguaNimeshindwa hata kumaliza
Mkiolewa shida msipoolewa shidaJamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.
Si niliwaambia WASIOE.
Hahahaha wachaga hatukataagi watoto...sisi tunapeleka shule tu hahaha wanatuinua sana uzeeniiPampula tulia dawa iingie. Usiende tu kuanza kukagua vidole na chogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtume Paulo alishawaambia kuwa kama mnaweza msioe ila na ubishi wenu mnalazimisha kuoa mwiisho wa siku mnakutana na mAmbo ya ajabu ajabuJamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.
HelloJamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.