Rafiki yangu kamfumania mkewe gesti

Rafiki yangu kamfumania mkewe gesti

Chukua maelezo yote ya Kibuyu, amesema mwanamke anapokuwa kwa hawala huwa anaweza kukunjwa namna yoyote ile, lakini akiwa kwa mme wake analalamika anaumia, mara ooh miguu inauma, mara kifua kinauma, mara unanichosha, mara nyingi hapo ujue akili inakuwa imehamia kwa hawara yake, jibia hapa.
Mume anampandia hakuna kuandaana kwanini asiumie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua na mawazo ni lazima....mke anauma. Ukiwaza unavyobanjuana nae,,miguno,,majina tofautitofauti anayokuita ya kimahaba.....lazma uende bar upate K vant kubwa angalau uwaze upya wapi unakosea. Yaan wanawake hawanaga fomula kwakweli...unaweza kumjali kwa kila kitu kumbe Kuna kichaa akija omba diko anamfumua..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ndo madhara ya kufumania sasa angekuwa hajafumania wala asingekuwa na mawazo kias iko.
Tatizo linaanzia kwa aliyemwambia, asingeambiwa wala asingekuwa na hali hiyo.
Ila shida zaidi na shida yenyewe ni mkewe kuamua kufanya alilolifanya.
 
Dah!! Pole yake. Kuna wanawake wengine hawajielewi kabisa. Sijui ata huwa wanatafutaga kitu gani kabisa.
 
Inapouma zaidi ni kuwa "alimkuta mke anamalizia kuvaa nguo"ina maana kuwa tayari alikwisha liwa
 
Pamoja na kuchepuka kwake haija kupunguzia uzito we usiji stress kihivyo maana maisha hayawezi kwenda vile unavyotaka wewe bali imani tu ndio ulinzi wa mazingira yetu duniani
 
Nimetumia masaa karibu 8 siku ya jumamosi tarehe 25/1/2020 kumpa ushauri wa kisaikolojia, rafiki yangu ambaye ijumaa ya tar 24/1/2020 alimfumania mkewe Gesti majira ya saa 1 jioni hapa Morogoro.

Mkewe aliaga anakwenda msibani amefiwa na mtoto wa binamu yake, hivyo siku ya kwanza alishinda humo mpk jioni. Ila siku ya pili yake ambayo ni ijumaa, mkewe aliaga anaenda kusaidia shughuli msibani lkn kumbe alifika asubuhi na kuzuga kufanya vishughuli vya hapa na pale kisha akaenda kwa jamaa fulani hiv ambaye ni mchepuko wake.

Mke wa jamaa alionekana akiwa anaingia gesti iliyopo mitaa ya Kihonda hapa Morogoro hivyo inasemekana kuna mtu aliyekuwa anamfahamu alivujisha taarifa kwa mumewe. Jamaa mwenye mke alikuwa mbali wilaya nyingine hivyo alichelewa kufika eneo la tukio mida ya saa 1jioni. Alipofika gesti alikuta jamaa ameshaondoka na mkewe alikuwa anamalizia kuvaa nguo.

Hivyo jamaa alimpiga sana mkewe mpk watu waliopo karibu walivamia chumbani na kuamua ugomvi. Hivyo jambo hili limemuuma sana jamaa kwani mpaka sasa amekuwa ni mtu wa mawazo na kulewa sana. Mke wake hajulikani alipokimbilia.

Wanawake tafadhalini sana heshimuni ndoa zenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndio wanawake bwana.... Yaani wanatembea na mgodi wao wee ukiweka roho yako kwake lazima utalia tuu
 
Kwa mfano unakuja kujua mkeo anakusaliti wakati mna watoto wadogo chini ya miaka 10 unamuacha hivyo hivyo bila kusubiri watoto angalau wafikishe miaka 10?
Huo mtihani kiongozi wangu kama una wapenda wanao.
Unaweza kuona jinsi familia zilizo vurugika watoto wanavyo pata malezi ya ajabu.

Watoto? Nitamuacha hata kama ana mtoto wa miezi 2
 
Back
Top Bottom