Mume anampandia hakuna kuandaana kwanini asiumie?Chukua maelezo yote ya Kibuyu, amesema mwanamke anapokuwa kwa hawala huwa anaweza kukunjwa namna yoyote ile, lakini akiwa kwa mme wake analalamika anaumia, mara ooh miguu inauma, mara kifua kinauma, mara unanichosha, mara nyingi hapo ujue akili inakuwa imehamia kwa hawara yake, jibia hapa.
Ili amuoe nan wakat unaambiwa wanawake wote n watoto wa mama mmojaUshauri wangu amwache huyo mwanamke.
Tatizo linaanzia kwa aliyemwambia, asingeambiwa wala asingekuwa na hali hiyo.Hayo ndo madhara ya kufumania sasa angekuwa hajafumania wala asingekuwa na mawazo kias iko.
Oh pole!! I meant it’s so sweet to be missed!! Napenda kupendwa🤗🤗You have actually left me in dillema situation from this picture's meaningful mummy [emoji849][emoji87]
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh pole!! I meant it’s so sweet to be missed!! Napenda kupendwa[emoji847][emoji847]
Halafu nikauliza are you D in another username?
I am only recognized by this ID and having not other multiactive IDs as it is normal known to some of the people in this JF.Oh pole!! I meant it’s so sweet to be missed!! Napenda kupendwa[emoji847][emoji847]
Halafu nikauliza are you D in another username?
Oh pole!! I meant it’s so sweet to be missed!! Napenda kupendwa[emoji847][emoji847]
Halafu nikauliza are you D in another username?
Hahahaha kweli Sky EclatWanaume wachache wakishajua mke anakigawa huwa hawaulizi wala kuhoji. Anarudi nyumbani saa anayopenda, hamgusi kabisa mkewe na wala shughulini hawaendi pamoja. Mke mwenyewe bila kufukuzwa anaomba aondoke.
Cause it’s only D who used to be close at least to miss me!
habari mkuu uko tarime sehemu gani tubadilishane mawazo kidogo
Write your reply...watu Kama hao cc uku tarime huwa atuchi ni kuuwa wote wawili
Hao ndio wanawake bwana.... Yaani wanatembea na mgodi wao wee ukiweka roho yako kwake lazima utalia tuuNimetumia masaa karibu 8 siku ya jumamosi tarehe 25/1/2020 kumpa ushauri wa kisaikolojia, rafiki yangu ambaye ijumaa ya tar 24/1/2020 alimfumania mkewe Gesti majira ya saa 1 jioni hapa Morogoro.
Mkewe aliaga anakwenda msibani amefiwa na mtoto wa binamu yake, hivyo siku ya kwanza alishinda humo mpk jioni. Ila siku ya pili yake ambayo ni ijumaa, mkewe aliaga anaenda kusaidia shughuli msibani lkn kumbe alifika asubuhi na kuzuga kufanya vishughuli vya hapa na pale kisha akaenda kwa jamaa fulani hiv ambaye ni mchepuko wake.
Mke wa jamaa alionekana akiwa anaingia gesti iliyopo mitaa ya Kihonda hapa Morogoro hivyo inasemekana kuna mtu aliyekuwa anamfahamu alivujisha taarifa kwa mumewe. Jamaa mwenye mke alikuwa mbali wilaya nyingine hivyo alichelewa kufika eneo la tukio mida ya saa 1jioni. Alipofika gesti alikuta jamaa ameshaondoka na mkewe alikuwa anamalizia kuvaa nguo.
Hivyo jamaa alimpiga sana mkewe mpk watu waliopo karibu walivamia chumbani na kuamua ugomvi. Hivyo jambo hili limemuuma sana jamaa kwani mpaka sasa amekuwa ni mtu wa mawazo na kulewa sana. Mke wake hajulikani alipokimbilia.
Wanawake tafadhalini sana heshimuni ndoa zenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, siku zote huwa najitahidi sana kuwa karibu na warembo kama nyie sababu mnatuzaa, mnatulea, mnatusababisha tutafute pesa kutunza familia pia bila ninyi hakuna chanzo cha familia mama [emoji1]Cause it’s only D who used to be close at least to miss me!
Sijawahi ona ukiwa close like this
Anhaaa, you are welcomeOk, siku zote huwa najitahidi sana kuwa karibu na warembo kama nyie sababu mnatuzaa, mnatulea, mnatusababisha tutafute pesa kutunza familia pia bila ninyi hakuna chanzo cha familia mama [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano unakuja kujua mkeo anakusaliti wakati mna watoto wadogo chini ya miaka 10 unamuacha hivyo hivyo bila kusubiri watoto angalau wafikishe miaka 10?
Huo mtihani kiongozi wangu kama una wapenda wanao.
Unaweza kuona jinsi familia zilizo vurugika watoto wanavyo pata malezi ya ajabu.