Rafiki yangu kamfumania mkewe gesti

Nawasalimia wadada mliopo kwenye ndoa.

Wale wachepukaji kama dada tajwa hapo juu. Mtasalimiwa na wauza chips
 
Kitu ameumbiwa mtu kwa mapenzi yake anampa mwingine atumie na si kuondoka nacho unakuta kuna mtu anaumia wengine kujinyonga du!
 
mwanamke ni mtu mzima kama anacheat ni kumpa nafasi tu afanye anayotaka si kumpiga.
 
Mimi nilishamwambia wife ikiwa nimembamba na mchepuko iwe kwa njia ya SMS, Fb au popote pale muda huohuo ndio mwisho wa ndoa yetu, simpigi. Wife ananiogopa kama ukoma.
Huyo sasa ana mawazo ya nini huku mke kakimbia ndoa yeye mwenyewe?
Umtendee mwenzako upendavyo kutendewa naye...

Jipe moyo maisha yaendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…